Wema Sepetu: Niliuweka pembeni "u-star" wangu ili kuwa na Munalove,lakini ushamba wake umenishinda

E news clouds Fm duh umekunywa maji ya bendera wewee
 
 
Ukiona unakosana sana na watu ujue wewe ndio una matatizo,huyu mdada nae anamatatizo,mbona kila wakati yeye anagombana na kukosana na wenzie?
 
Ukiona unakosana sana na watu ujue wewe ndio una matatizo,huyu mdada nae anamatatizo,mbona kila wakati yeye anagombana na kukosana na wenzie? Mara Kajala mara huyu tenaaa mweeeeheee
 
Aishie zake nae huyu,ndio maana mim nakapenda Kalulu
 
Hakuna kitu hapo,wema ana life frustrations zake nae huyu...reaction zake hata kwenye mambo ya kawaida ni za ajab ajab tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…