Wema Sepetu: Sina uwezo wa kuzaa



hhahaaaahahahaaa......... angetueleza kwanza zababu za kitaalamu kwanini hana mayai????
 
Sijui kwa nini sitaki kuamini hili,nahisi kuna kamchezo kanachezwa juu ya hili!lugha iliyotumika kwenye hii post ya wema ni tofauti na uandishi wake tulouzoea kabisa!!
 
Yawezekana aliwachokoza hao anaodai wanamkashifu.
 
Namshauri asije kusoma mlivyochangia manake atachanganyikiwa zaidi
 
Sijui kwa nini sitaki kuamini hili,nahisi kuna kamchezo kanachezwa juu ya hili!lugha iliyotumika kwenye hii post ya wema ni tofauti na uandishi wake tulouzoea kabisa!!

Ili ku-amini tafuta account yake ya Instagram
 
mods please tunaomba huu uzi uupeleke Celebrities forums
 
Sijui kwa nini sitaki kuamini hili,nahisi kuna kamchezo kanachezwa juu ya hili!lugha iliyotumika kwenye hii post ya wema ni tofauti na uandishi wake tulouzoea kabisa!!

I second you.
Kwanz kama kweli angekua na tatizo asingesema huyu.
Few days back alisema bado mdogo.This is another kick I tell u.tena unaweza kuta she is prego contrary to what is writtem.Ni kama ana wajoke wahasimu wake.
 

mkuu ameccoment vyema but kumbuka si kila mgumba ni matokeo ya dhambi zake. ni kweli atubu ila si kwa ajili ya kuwa fertile.

pole sana kwake.
 
I second you.
Kwanz kama kweli angekua na tatizo asingesema huyu.
Few days back alisema bado mdogo.This is another kick I tell u.tena unaweza kuta she is prego contrary to what is writtem.Ni kama ana wajoke wahasimu wake.

nahisi hivyo pia!wema akiumiaga uandishi wake unakuwa wa kulalamika sana!!halafu english inakuwa nyingi mno,subiri tuone episode inayokuja
 
Wema atakuwa na matatizo mbona Zari nasikia ana mimba ya diamond.
 
nahisi hivyo pia!wema akiumiaga uandishi wake unakuwa wa kulalamika sana!!halafu english inakuwa nyingi mno,subiri tuone episode inayokuja

Huyu anataka kuzungumziwa hana lolote.
 
...hata biologia haisemi uombe ukikosa mtoto, ni kusex at a right time...ebu acheni kupotosha....
Mkishapata watoto ndio mnakufuru Mungu kwa kujiona kuwa ni matokeo ya biolojia. If you think more and more, unaweza ukapata jibu kuwa aliyekuzaa ametokea wapi... ukawa unarudi nyuma kwa vizazi vyote, halafu useme huyo mzazi wetu wa kwanza alitokea wapi. Utajitetea kwamba sijui kuna chembechembe zilikuwepo zikaungana, still rudi nyuma ujiulize zilitoka wapi, hadi hiyo nature ujiulize ilitoka wapi. Ukipata jibu, njoo kifua mbele hapa ujitape kwamba wewe ni rijali unayeweza kuwapa ujauzito matasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…