Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo atakuweka mtandaonihuyu demu mzuri sana..... anitafute nimjaze mapacha maana anapata shida mno.
hayo mengine tutafundishana taratibu.Tatizo atakuweka mtandaoni
Huyo mdada atakuwa na matatizo makubwa Sana kwenye ngono yani anasema kuwa hivi mtu Kama Mimi naweza nikawa sipo kwenye mahusiano kweli? Akimaaanisha kuwa yeye ngono ni lazima ndio kipaumbele chake Wakati unawakuta wadada wengi tu hawana habari na wanaume wala kuwa na habari Ya ngono, Lakini najiuliza Kama anapenda Sana ngono si aolewe tu? Mbona umri umeeenda? 30yrs atakuwa kafika si aolewe? Eti mtu Kama Mimi siwez kuwa sina mwanaume wa ...... Uwiiiiiiiii MUNGU muokoe huyu mdada jamani mbona ni Mzuri kilimkuta nini?
Hana pesa alizonazo happy magesePole sana Wema,ila una pesa nyingi si ukapandikize kama alivyofanya Happy Magese?Tena unachagua mbengu za Mzungu kama alivyofanya Happy Magese.
eti ana pesa nyingi, kumbe we ni wauswazi shogaPole sana Wema,ila una pesa nyingi si ukapandikize kama alivyofanya Happy Magese?Tena unachagua mbengu za Mzungu kama alivyofanya Happy Magese.
Kumbe Ni chawote vp wewe umeshamt.o.mba Mara ngapi mkiiHuo mzigo wa wigi la nini sasa mtu umeshakongoloka? Ujana maji ya moto tayari yameshapoa. Ukishakuwa cha wote hakuna mwanaume atakuwa na mpango na wewe wa maisha tena maisha yenu ya social media hayo kila ufanyacho na mwanaume lazima uweke mitandani. Muda umekwenda na haurudi tena! Utakuwa bibi boma muda si mrefu
Wema ana pesa nyingi????? HhaahhPole sana Wema,ila una pesa nyingi si ukapandikize kama alivyofanya Happy Magese?Tena unachagua mbengu za Mzungu kama alivyofanya Happy Magese.
Hawakushindwa Bali kila wakimpachika anazichomoaHivi wanaume wa dar ilikuwaje mkashindwa kumpa mimba Wema Sepetu?
Watakwambia wako busy kutafuta sabuni waoge waingie mjini[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi wanaume wa dar ilikuwaje mkashindwa kumpa mimba Wema Sepetu?