Wema Sepetu: Siwezi kumsapoti Diamond kwenye MTV Awards, nitaonekana ninajipendekeza

Mbona nyie mnawatajataja hapa. Teh teh teh.

Angalieni msilipishwe. Mnawataja bila mikataba
 
Wema alikuwa anajaribu kikamba diamond akaharisha.

Alidhani diamond anatembelea nyota yake,yupo na diamond halafu anahongwa bmw, alidhani atafanya usanii kula pande zote,diamond akamove on mazima,hhahaa halafu ubaya akampata mkali kuliko wema.I'm sure wema akiona picha ya zari anahisi hisi kujisaidia kwa wivu
 

Maumivu ya mapenzi hayakuanzia kwa Wema. Ni wengi wameumizwa na mapenzi hata wakabaki na kiwewe na wengine kutoona thamani ya kuishi kabisa na kuishia kujitundika sembuse Wema ambae yupo alive na anafanya mambo yake. Think positively na umchukulie kama mwanamke wa kawaida.

Honestly uko na mpenzi wako then unasikia anaongea kwenye media hana mpango wa kuoa si kesho wala keshokutwa......utaendelea kujishikiza tu?
 

Wao wote hamna aliyetulia,na hata kama diamond kusema hamna mpango wa kuoa inawezekana walikuwa hawaelewani hajakurupuka tu
 
kila wiki lazima amtaje

Mkubwa hakuna kitu kibaya na kinauma kama unaachana na mpenzi wako, hata kwa kosa lisilosameheka alafu anachukuliwa na mkali zaidi yako.

Ni maumivu makali, hayafikii hata tohara ya bila ganzi.
Wema ataendelea weweseka mpaka mwisho wa dunia.
 

Mpaka kifesi alipata ujasiri wa kusema humu ati Diamond hawezi kumuoa Wema! heaven on desert anajua mambo ya ndani kabisa ya diamond.
 
Last edited by a moderator:
Wema bado ni mtoto sana na akili za uswahili zimemuharibu. Diamond hana haja ya kumuomba yeye Wema personally kwa sababu suala lililopo ni la utaifa na si la ubinafsi. Anapaswa kutofautisha maisha binafsi na kazi za Diamond. Pengine angepaswa ajiulize ni kwa nini Diamond hasikiki akiongelea hayo masuala hadharani. Diamond si mjinga bali anatambua ukianza kuingiza mambo binafsi ukachanganya na kazi lazima uharibu. Halafu ni ajabu mtu anayetaka kuwa mbunge tena kwa kutumia kigezo kwenda kutetea wasanii ndie anakuwa mtu wa kwanza kuacha kuhamasisha watu wampigie kura Diamond ili ailetee sifa sanaa ya Tanzania na taifa kwa ujumla. Zile tunzo zina maana kubwa kwa ukuaji wa sanaa Tanzania. Mbunge kiongozi wa wananchi analeta matatizo yake binafsi katika kulirudisha nyuma taifa kimaendeleo.
 
FROWIN

Mi sio fan wa Kiba but haya maneno ya wema kila siku kusema kiba alimuomba amuombee kura sio vyema hata kidogo,waliongea privately haikua na haja kufanya matangazo nadhani hata Kiba anaweza kuona utoto wa Wema hafai kifanya nae deal anapenda sana publicity za kixnge xenge,ok poa kiba kaomba amsapoti then apige kimya sio kila siku matangazo ni kupenda sifa za kilofa!
 
Last edited by a moderator:
Huyu dada anaona umri unamtupa mkono hakuna mtu anawaza kumuoa zaidi yakumtumia tu, na kibaya zaidi mashost zake wanawatoto alaf yeye hana lazima aweweseke sana.......sasa jina Diamond halimtoki mdomoni, wakati.mmanyema na zari wake wanasonga mbele huko
 

Mimi mwenyewe Nimeshangaa kwa nafasi wema anayogombea ya ubunge hakupaswa kufanya hivyo sasa anamsapot davido wa Nigeria kwa hiyo anaenda bungeni kusaport wasanii wa nje na sio tz. Kuhusu mapenz yako ss hayatuhusu msanii yyte ni kioo cha jamii wema think twice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…