Wema atakuwa anawashwa kiarage na mkunaji alikua dai sasa kila akifikiria zari anakunwa rohoo inauma jana alikuwa kama kapaniki hivi.
Maumivu ya mapenzi hayakuanzia kwa Wema. Ni wengi wameumizwa na mapenzi hata wakabaki na kiwewe na wengine kutoona thamani ya kuishi kabisa na kuishia kujitundika sembuse Wema ambae yupo alive na anafanya mambo yake. Think positively na umchukulie kama mwanamke wa kawaida.
Honestly uko na mpenzi wako then unasikia anaongea kwenye media hana mpango wa kuoa si kesho wala keshokutwa......utaendelea kujishikiza tu?
Mpaka kifesi alipata ujasiri wa kusema humu ati Diamond hawezi kumuoa Wema! heaven on desert anajua mambo ya ndani kabisa ya diamond.
Kisima, kisii hata sisismizi anacho....kisima au kisimi?