miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
Ayaaaaaa
Hiv unajua nilikuwa Cjakusoma kabisa. ..
Yaani ningejya c tungeenda wote nulikosa kampani navyompenda lissu dah!!
Nway Ckunyingine uwe unanistua wangu
Aje huku ashushuliwe na leo wikiend mbona ataomba poo .
Nipo yaan pilau limenikomeshajee niambie za huko kwenyu,za sikukuu vipiii
Ni M. a. t. a. k. o. ya quantity, not quality
Wazee wako hivyo ..ushauri tutaupata wapi..na iweje mzazi unajiingiza kwenye malumbano ya watoto huku ukimtetea mwanao ni upuuzi..ukirejea hata interview alofanya na zamarad aliongea pumba tu..KWA MANENO HAYO YAMETOSHA KUMVUA NGUO MWENYEWE KABLA HATA YA KUCHORWA
Sikukuu ndo nashukuru imeisha salama. nlikuwa busy hatari...
Umevimbiwa nini...hahaaa
Nimemsamehe bure Wema baada ya kujua ni mixer ya kinyamwezi na kinyaturu.Wanyamwezi ni watu wa mashauzi sana, yani ni wale watu wa show off kila kiingiacho mjini anataka kumiliki, wanyaturu nao ni mwendo wa kuvua pichu...so yule hawezi kubadilika..kaka yangu Chibu ajipangee tuu...
Ila kuhusu mama.....naheshimu wamama wote duniani, siwezi kumpiga laana mama wa mwenzangu...hakuna mkamilifu thats all.
Hawawezi kuthubutu Kuja huku timu imekamilika pale kati Kuna miss strong ukicheck pembeni kushoto Kuna Dinazarde kulia Kuna ROBERT MICHAEL golikipa mi mwenyewe we watapenyea wapi sasa kwa mfano!!!
Yaan si unajua pilau la waislam lilivyo balaaa nimevimbiwa kidogooo
Huna lolote......msambinungwa.Umelala doro mtalimbo.Ck kagonga hapo kaamua atembee kwa mtoto k rangi chocolate,umbo no 8,yaani mtoto anaita.
Sio huyo boko haramu wenu.....fulu mistari kama pundamilia.Mnxxxxxssssy
Pole...kula magnesium shost, au tafuta chewing gum...pole hahahaaaaa.
Mkuu nakubaliana na wewe kabisa. Huyu mama ni shangingi. Mtu mzima huwezi kutamka tusi kubwa namna hiyo, tena mbele ya mwanao wa kumzaa.
Huyo mama na shigongo kutwa wanavuta ndumu tena maskani yao Displine Camp sasa unategemea nini...
Eeeeh! Mtoto kadata mpaka anatamani mumewe angefia hukohuko.....anajuta kwann CK aliwahi maisha na yy kwann ameolewa yani!!!! Na kwako ww kwa kufuata mfano wa boss wako.....mwanaume atakaye kuoa atakushindwa na huo mdomo ndio usiseme! Utaishia kugongwa na kuachwa, sana sana utakuwa unaambulia nauli ya usafiri tu!!!! Bye bye...
Du,Tanzania tuna vituko balaa dada yangu kweli umetoka utokako kuja kumtetea huyu bibi.Tafuta kazi ya kufanya msitegemee papuchi kama Wema ( role model wako) maana hizo zinachokwagwa na mpya zinaingia sokoni.
Hizo papuchi ww huusiki!? Papuchi unapenda halafu unataka bure bure....wajinga waliwao! Kama unaona bure ndio mpango, fanya na ww ugawe bure! Out of topic....na wasiwasi na ww kama ni mwanaume halisi....naona imekuuma! Kama unapenda raha tafuta pesa kwa bidii ili usiogope kutumia, upate raha!!!
Mwanaume rijali unashinda humu kwenye vigodoro vya watoto wa kike! Narudia kusema.....WAJINGA NDIO WALIWAO!!!! Thanx for the advice.....na ww endelea kushoboka humu!!!!Mimi si mwanaume halisi tu pia ni rijali pia.Kuna wenzako walikuwa hivyo hivyo waliona mtaji hiko kiungo baada ya kuzalishwa wanatupa tabu sisi wajomba kwa watoto wasiowaweza kuwatunza kutokana mtaji umekufa na kwenye biashara zenu wameingia wapya.Ushauri wangu tafuta hata kaujuzi kakae kichwani kwenye hivi vicollege vya ghorofa moja vinavyotangazwa kwenye matv maana inaweza kukusaidia mpaka unapoenda kaburini.Hapo kote nilivyokuelezea sikukuekea hatari ya HIV/AIDS.
Mimi si mwanaume halisi tu pia ni rijali pia.Kuna wenzako walikuwa hivyo hivyo waliona mtaji hiko kiungo baada ya kuzalishwa wanatupa tabu sisi wajomba kwa watoto wasiowaweza kuwatunza kutokana mtaji umekufa na kwenye biashara zenu wameingia wapya.Ushauri wangu tafuta hata kaujuzi kakae kichwani kwenye hivi vicollege vya ghorofa moja vinavyotangazwa kwenye matv maana inaweza kukusaidia mpaka unapoenda kaburini.Hapo kote nilivyokuelezea sikukuekea hatari ya HIV/AIDS.
Mwanaume rijali unashinda humu kwenye vigodoro vya watoto wa kike! Narudia kusema.....WAJINGA NDIO WALIWAO!!!! Thanx for the advice.....na ww endelea kushoboka humu!!!!
Kwani hilo tukio unadhani linamuda gani limetokea!? Kama imemuhusu ataongea bado muda upo, na kama anajua haijamhusu hawezi kuongea cha ajabu mashankupe wanakaa kuongelea wengine!!!!!