miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
Nampenda Wema...
Lakin clip ya huyo mama sijaimalizia kuisikia hadi mwisho ni aibu.. kwenye makosa lazima tukosoe
Nimeipenda ulivyo admit hii kitu....me nampenda sana huyu binti lakin huyu mama anamuharibu sana bintiye.
Na hii clip imedhihirisha hlo
Hahahahaha duh kwa mama yeyote mwenye hekima na busara kamwe hawezi kusema aliyoyasema. Nimesikitika anaongea mpaka anajinadi kuwa yeye ni 56 lkn umbo lake ni la binti mdogo. Ama kweli wazazi wa kisasa kuna shida mahala flani. Inawezekana wengine kwasababu ya kukaa ktk jamii isiyo na maadili wameathirika kiasi kwamba hawaoni kama huyu mama amekosea. Tulitegemea kupata maneno yenye kujenga toka kwake na hakukua na haja ya yeye kufanya alivyofanya kwani ziko njia nyingi za kufikisha ujumbe.
Sijui unatetea nini??huyo mama ana upungufu wa busara.Nilichogundua ni ngumu sana kumfundisha shairi jipya mbwa mzee ukitegemea ataimba....haiwezi tokea coz ni kitu kipya kwake.
Wapo ma celebrity wengi tu tena wana matatizo tena makubwa tu lakin aghalabu asilani sijawahi sikia mama/baba zao wakitoa matamko ya namna hii.
Huu ni ukosefu wa adabu na busara....mama Wema hataachwa kutukanwa kwenye mitandao maana na yeye anataka kuwa celebrity.
Tatizo wema hataki kukubali kuwa yeye ni maskini, elimu hana maisha hana, anataka kujifananisha na wanawake wengine waliosoma na wanaishi maisha ya kifahari kwa pesa zao wenyewe, yeye mpaka ahongwe na wanaume pesa ndo atanulie, what a shame? Unajiita star ata gari huna? Mpaka uhongwe na wanaume? Kama hao wanaume wanamuona wa maana si wangemtafutia kazi afanye aishi kwa jasho lake? Kazi kujifanya ana pesa wakat maskni wa kutupa, huyo mama ake nae kahaba tu aliyestaafu, ngoja team dengue ifanye kazi yake naona ile picha haijatosha
Wema shule kasoma.... shule hakuikimbia.. sema maza ake ndio uswahili umempitiza vibaya saana
Mie ndio maana kuna siku nilishangaa nilikua global kipindi habari ya Wema na mama ake kusoma albadili kumbe ye ndio alipeleka akataka itoke gazetin akawa anasema kabisaaa kwamba wanasoma al badil na hilo jambo wameongea na Wema wema kupigiwa akawa hana hata habari na hilo jambo ye akanganganiza litoke tena front page... kuna shida mahali aiseee
Unaweza kunambia kiwango chake cha elimu (licha ya kwamba sidhani kama elimu inahusiana na chochote kilicho kwenye tabia ya huyo mama yake)?
Ila ana degree..
Mwanzo nilisikitika sana kuona huyu Mama kudhalilishwa sasa na shangaa na yeye kuchangia kujidhalilisha inatia aibu hii clip.....
huyu mama ana tatizo si bure...!
Ana shahada ya nini? Kaipata lini? Kutoka taasisi au chuo gani?
Una maswali mengi kwani we ni polisi....
Hahahahaha duh kwa mama yeyote mwenye hekima na busara kamwe hawezi kusema aliyoyasema. Nimesikitika anaongea mpaka anajinadi kuwa yeye ni 56 lkn umbo lake ni la binti mdogo. Ama kweli wazazi wa kisasa kuna shida mahala flani. Inawezekana wengine kwasababu ya kukaa ktk jamii isiyo na maadili wameathirika kiasi kwamba hawaoni kama huyu mama amekosea. Tulitegemea kupata maneno yenye kujenga toka kwake na hakukua na haja ya yeye kufanya alivyofanya kwani ziko njia nyingi za kufikisha ujumbe.
Wema shule kasoma.... shule hakuikimbia.. sema maza ake ndio uswahili umempitiza vibaya saana
Una maswali mengi kwani we ni polisi....
Alisoma Malaysia..
Hahahaaa kama hujui sema tu hujui.
Sidhani kama huyo binti ana shahada na niko radhi kuweka paycheck yangu kwenye hilo.