maneno aliyoongea hayo mama ni ya busara mno , hakuna tusi hapo tena angepelekwa bunge la katiba angesaidia sana kutetea haki za wanawake, yeye na mwanaye wema ni tunu za taifa kabisa
ila nasikitika pressure aliyopewa wema mpaka umri wake umepanda ghafla kutoka 22 hadi 26...very bad..Iam dejected
si kweli form four tuuu
academic international
shoga uns mahaba na wema hadi basss!!
alienda malaysia kusoma kachemsha hakumaliza tena ni course flani tu
degree anaisomeaga location tuu
Hahahaaa kama hujui sema tu hujui.
Sidhani kama huyo binti ana shahada na niko radhi kuweka paycheck yangu kwenye hilo.
Hapa mama Wema akimponda Kajala
Hahahaa mama ana matusi huyu daaaah
Mmh aliishia form four unataka kusema hata form six hajafika....
Kawaida tu mbona sio kihivyo
Hajafika WEMA
shoga angu we umeizdi kumpenda sana
si kawaida,angefika adv level au dip tu si tungejijuu
Hapa mama Wema akimponda Kajala
Hahahaa mama ana matusi huyu daaaah
Kuna dada zake inakuaje wanashindwa kumkanya mama n binti wke ila mwisho wke c mzuri,tajiri na mali yke anafilisika yeye hata kibanda hana soon atabaki historia.mbna wenzke wana majumba ila kimya 2
Duuuuuh Kweli kuna wazazi
si kweli form four tuuu
academic international
shoga uns mahaba na wema hadi basss!!
alienda malaysia kusoma kachemsha hakumaliza tena ni course flani tu
degree anaisomeaga location tuu
inawezekana hakutegemea maisha mazuri so bado ana ulimbukeni ule ule
sijawah msikia mama wa uwoya wala wolpa na makashfa ya uwoya kukimbia mme
mi nahis aliruka stage
Kuna muda hadi wageni waalikwa naona ka walianza kuguna.... anaita team dengue na anaisema hiyo dengue kama ilivyooo
Duh hapa mama alichemsha kwa haya maneno yake aiseee
Hahahahaha duh kwa mama yeyote mwenye hekima na busara kamwe hawezi kusema aliyoyasema. Nimesikitika anaongea mpaka anajinadi kuwa yeye ni 56 lkn umbo lake ni la binti mdogo. Ama kweli wazazi wa kisasa kuna shida mahala flani. Inawezekana wengine kwasababu ya kukaa ktk jamii isiyo na maadili wameathirika kiasi kwamba hawaoni kama huyu mama amekosea. Tulitegemea kupata maneno yenye kujenga toka kwake na hakukua na haja ya yeye kufanya alivyofanya kwani ziko njia nyingi za kufikisha ujumbe.
Halafu karusha bonge la tusi hapo....sijui hanisi malowani bilisi maliisi....? Hahahahaaa duuuuh
Tatizo wema hataki kukubali kuwa yeye ni maskini, elimu hana maisha hana, anataka kujifananisha na wanawake wengine waliosoma na wanaishi maisha ya kifahari kwa pesa zao wenyewe, yeye mpaka ahongwe na wanaume pesa ndo atanulie, what a shame? Unajiita star ata gari huna? Mpaka uhongwe na wanaume? Kama hao wanaume wanamuona wa maana si wangemtafutia kazi afanye aishi kwa jasho lake? Kazi kujifanya ana pesa wakat maskni wa kutupa, huyo mama ake nae kahaba tu aliyestaafu, ngoja team dengue ifanye kazi yake naona ile picha haijatosha