Wema Sepetu: Tabia karithi kwa mama yake?

Wema Sepetu: Tabia karithi kwa mama yake?

Tenaaaaaaa...tim mavi mavi wako api....mxeeeeeeeeeew....wema wema..eti nampenda wema....ovyooooo...wanaacha kupenda vya maana wanapenda taka taka...labda waclarify unapenda domo la wema...au shepu...au anavyouza kote mbele na nyuma....mie sina team lakin hawa funda wa wema wananitifua mpaka mk...ni....mxeeeeeew

basi dada basssss baaasss
mi hapa team wema ila leo simtetei jamani tafadhali
spare me
 
Hizi sinema za bongo usishangae mama kajala naye kuja na verse yake
 
Kwa hili sitoshangaa maana katukanwa....!!

Usione mama anatetea binti yake usikute naye anamtegemea binti yake kutokana pesa za skendo,au binti akihongwa mama naye anapata kifuta jasho
 
basi dada basssss baaasss
mi hapa team wema ila leo simtetei jamani tafadhali
spare me

Hahah....wape salam na wenzako...kama mnampenda sana muanzishe saccos ya wema...muwe mnamchangia kila mwisho wa mwezi hela za kula bata maana ck kuwa na kajala kunampa pressure bado..atulie na huyo domo wake.sio kumsupport kwa kutukana wengine...wenzako wapo wanasoma kimya kimya ila wameelewa tu..mumuache kajala miaka 1000 heheheheheheiiiiiya...
 
Usione mama anatetea binti yake usikute naye anamtegemea binti yake kutokana pesa za skendo,au binti akihongwa mama naye anapata kifuta jasho

Ni sawa lakin kama mtu mzima staha muhimu.....
 
Bado haiingii akilini kumtaja kajala km mme wa mtu kwny kpnd mhm km iki ilo shankupe wema linasaka ndoa ya ndomo km litaweza....ni aibu ya mwaka
 
Wasilete uhuni....kuna watu wahuni zaidi yao ingawa uhuni si sifa nzuri.Mama unaongelea habari ya kuuguza mume mbele ya hadhara ili tukusaidie nini???

Wakati unatumbua nae mbona hukutangaza ili uje usaidiwe.Ndoa ni shida na raha sasa usifurahie mavuno tu na kupalilia pia ujue.Nyoooolo you

Yaani huyu mama nahisi enzi za ujana wake alikuwa mcharuko hashikiki.Na hiyo tabia IPO kwenye damu naona.
 
Mbona leo wamelala..,wako api hao mapakashume wa wema...tim nyokonyoko wameamia mtaa upi....hivi kweli mdada unajielewa upo busy unamshabikia wema...??na wew si walewale...kama kuna tim Wema humu lambeni ndimu..tena mkazikwee kkoo kwa jumla...mnanichosha,...huyu ndo wa kuigwa............ngoja niishie hapa

NDo nilikuwa nashangaa juzi team wema inavyopiga makerere humu wamefuraia malaya mwenzao kahongwa magar mawili, yani kabisa mtu unafuraia magar ya kupewa bure halafu kesho unapokonywa mmh, mi ndo toka atudanganye na magar ya kifahar kuwa ni yake na nyumba ya mil 400 ata kesho aje na hadith gan simwamin, akazane kufanya kaz hata akinunua vits kwa pesa yake c haba
 
Usione mama anatetea binti yake usikute naye anamtegemea binti yake kutokana pesa za skendo,au binti akihongwa mama naye anapata kifuta jasho

Sio usikute, mama wema anawekwa mjin kwa pesa za umalaya za mwanae, sasa kaona bonge la bwana kakimbia ndo mapovu yanamtoka, umalaya tu mzee mzima ovyo
 
Hahah....wape salam na wenzako...kama mnampenda sana muanzishe saccos ya wema...muwe mnamchangia kila mwisho wa mwezi hela za kula bata maana ck kuwa na kajala kunampa pressure bado..atulie na huyo domo wake.sio kumsupport kwa kutukana wengine...wenzako wapo wanasoma kimya kimya ila wameelewa tu..mumuache kajala miaka 1000 heheheheheheiiiiiya...

tehe tehe tehe
jamani wenzangu mmesikiaaaa...???!!!!
tuanze kumkanya mama kwanza ajiheshimu mana mtu mzima hovyoooo....!!!
 
Kama wao wanajisifia rangi nyeupe basi ubuyu usingepakwa rangi.Eti mama mtu anauliza me nna madoa mimi??sasa sisi tutajuaje??au kuna watu waliomvua nguo wapo pale??

kakutibua kweli mama wema
 
Back
Top Bottom