Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #21
SawaWashirikina utawajua tu hata ushauri wao huna haja kumuuliza ana hirizi au la
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaWashirikina utawajua tu hata ushauri wao huna haja kumuuliza ana hirizi au la
Sawa msemaji wa wanaume wa zenjiMsemaji qa wanaume wa dar
Amechuja vibaya mno.Kwenye movie ya a point of no return huyu mama alikuaga mzuri jamani dah
Kweli jua huchomoza mashariki na kuzama magharibi
Umesomea wapi huu ujinga? Hata bibi pia alikuwa binti na alisumbua kwelikweli zama zake, mwache apumzike na ale matunda ya alichokipanda na siyo kutaka kumpoteza kwa ushauri usiofaa.Miongoni mwa mastaa wa kike ambao wasipojiangalia watakuwa na mwisho mbaya basi huyu mwanadada Wema Isaac Sepetu anaongoza.
Kiukweli Wema inabidi afanye juu chini atafute wataalamu wa jadi wamsafishie nyota yake maana anazidi kufuja kila kukicha .
Wema kwa muda mrefu amekuwa mtu mwenye mikosi kila atakalolifanya lazima liharibike, mfano kampuni yake ya endless fame imekufa kifo cha mende, vipodozi vyake,app yake na mambo mengi mno yamemdodea .
Tukiachilia mbali suala la biashara, Wema amejaa mikosi mpaka mwilini mwake kuna uwezekano mkubwa hata suala la kizazi amefungwa kimazingara japo yeye anahisi na kukiri tabia yake ya kutoa mimba usichanani mwake ndio chanzo lakini hapana atazame kwa wataalamu huenda kuna jambo limejificha nyuma ya pazia.
Tukija upande wa muonekano Wema amekongoroka mno mpaka inakuwa vigumu kupewa baadhi ya dili kutokana na mwili wake kutokuwa na mvuto tena maana amekuwa kimbau mbau ambaye haeleweki nyuma wapi mbele wapi ukija kwenye sura ndio kabisa uzee unamkaribia.
Kwa hiyo ushauri wa bure aende kwa wataalamu wamchekie nyota yake au kama anaona aibu awaite hata masheikh wamfanyie kisomo angalau cha siku saba mfululizo au siku tatu kikiambatana na swadaka kwa watoto yatima na maskini huenda mambo yake yatakaa sawa kwa idhini ya Allah.
Stress za maisha zinamchanganya, ila uwezekano wa kuwa amechezewa upo asidharau.
So?Nakukumbusha tu PAW bado ni mod
tupia picha yakeMiongoni mwa mastaa wa kike ambao wasipojiangalia watakuwa na mwisho mbaya basi huyu mwanadada Wema Isaac Sepetu anaongoza.
Kiukweli Wema inabidi afanye juu chini atafute wataalamu wa jadi wamsafishie nyota yake maana anazidi kufuja kila kukicha .
Wema kwa muda mrefu amekuwa mtu mwenye mikosi kila atakalolifanya lazima liharibike, mfano kampuni yake ya endless fame imekufa kifo cha mende, vipodozi vyake,app yake na mambo mengi mno yamemdodea .
Tukiachilia mbali suala la biashara, Wema amejaa mikosi mpaka mwilini mwake kuna uwezekano mkubwa hata suala la kizazi amefungwa kimazingara japo yeye anahisi na kukiri tabia yake ya kutoa mimba usichanani mwake ndio chanzo lakini hapana atazame kwa wataalamu huenda kuna jambo limejificha nyuma ya pazia.
Tukija upande wa muonekano Wema amekongoroka mno mpaka inakuwa vigumu kupewa baadhi ya dili kutokana na mwili wake kutokuwa na mvuto tena maana amekuwa kimbau mbau ambaye haeleweki nyuma wapi mbele wapi ukija kwenye sura ndio kabisa uzee unamkaribia.
Kwa hiyo ushauri wa bure aende kwa wataalamu wamchekie nyota yake au kama anaona aibu awaite hata masheikh wamfanyie kisomo angalau cha siku saba mfululizo au siku tatu kikiambatana na swadaka kwa watoto yatima na maskini huenda mambo yake yatakaa sawa kwa idhini ya Allah.
HahahaMsemaji qa wanaume wa dar
unaanzisha uzi wa wema bila picha?
hiwezi kuwa serious mkuu
mbona mkono wa mwanaume?[emoji23][emoji23][emoji23]
Ushauri huu ungefaa atumiwe mhusika moja kwa moja kuliko kuuleta JF!Miongoni mwa mastaa wa kike ambao wasipojiangalia watakuwa na mwisho mbaya basi huyu mwanadada Wema Isaac Sepetu anaongoza.
Kiukweli Wema inabidi afanye juu chini atafute wataalamu wa jadi wamsafishie nyota yake maana anazidi kufuja kila kukicha .
Wema kwa muda mrefu amekuwa mtu mwenye mikosi kila atakalolifanya lazima liharibike, mfano kampuni yake ya endless fame imekufa kifo cha mende, vipodozi vyake,app yake na mambo mengi mno yamemdodea .
Tukiachilia mbali suala la biashara, Wema amejaa mikosi mpaka mwilini mwake kuna uwezekano mkubwa hata suala la kizazi amefungwa kimazingara japo yeye anahisi na kukiri tabia yake ya kutoa mimba usichanani mwake ndio chanzo lakini hapana atazame kwa wataalamu huenda kuna jambo limejificha nyuma ya pazia.
Tukija upande wa muonekano Wema amekongoroka mno mpaka inakuwa vigumu kupewa baadhi ya dili kutokana na mwili wake kutokuwa na mvuto tena maana amekuwa kimbau mbau ambaye haeleweki nyuma wapi mbele wapi ukija kwenye sura ndio kabisa uzee unamkaribia.
Kwa hiyo ushauri wa bure aende kwa wataalamu wamchekie nyota yake au kama anaona aibu awaite hata masheikh wamfanyie kisomo angalau cha siku saba mfululizo au siku tatu kikiambatana na swadaka kwa watoto yatima na maskini huenda mambo yake yatakaa sawa kwa idhini ya Allah.