Wema Sepetu Tena katika mahaba mazito na Ki-boy

Wema Sepetu Tena katika mahaba mazito na Ki-boy

Anabahati ya kupendwa sio Kama kina JayDee wameachwa tangu mwaka juzi mpaka Leo wanalia Tu ndi ndi ndi. Yeye bandika bandua anawapanga foleni tu. Hongera dada!
 
Analazimisha sitar!
Kwani I'drisa vp tena si mchumba wake??
 
Anabahati ya kupendwa sio Kama kina JayDee wameachwa tangu mwaka juzi mpaka Leo wanalia Tu ndi ndi ndi. Yeye bandika bandua anawapanga foleni tu. Hongera dada!
Haaaaaaa uwi nimechekaje
 
Kuna ukimwi kuna ukimwi ukimwi utakuua,usione sifa kubadilisha mabwana ukianza kuvaa pampasi watu wasikulilie kwa unafiki.hauna staha unagawa hadharani amini kuna ukimwi
 
Kazi yake, mnataka akalime ilhali siyo kazi yake
 
net_wallpaper_texture_gray_shine_72425_3840x2400.jpg




KUNA BAADHI YA WANAWAKE WANGEKUWA WANATOKA TUNDU MOJA IWAPO WAKITEMBEA NA MWANAUME BASI WENGINE WANGEKUWA KAMA VILE NETI


HIVI KUNA MTU MWENYE FEDHA AMBAYE HAJAMLA HUYU DADA KWELI??
Ndio mkuu,mi bado sijamla
 
Kuna Clip inasambaa sana Instagram Wema sepetu akiwa Na Ki Boy ... Bila haya Wala Aibu mwanamke Huyu Na kiss Za midomo juu wakadendeka

Picha hizi hapa

2fd27895a04fa3cc43ae61037a273229.jpg
b9c4c1cf1aa7e4732e47252d4ec5131f.jpg
fa1dcf7b8ebe93e2584bac6643d3013e.jpg
Kusingekua na incharge watu tungemwagishana sana radhi......
 
Back
Top Bottom