warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Ila nyumbu nyie bado ana ka mvuto flani hivi, sema basi tu huyo aliyemroga mtoto wa watu alimroga haswa , Wema is Beautiful, Wema is a star , Ana nyota , na ni kati ya mastaa wachache bongo wenye exposure na Maisha flan hivi yalee, ni mtu ambaye unaweza kumuweka na jamii ya watu wowote wale na aka fit, wasomi , akina kajamba Nani , yani she has that vibe and energy ambayo kusema kweli mastaa wengi hawana.
Mind you , Wema Alisoma shule nzuri , so hata ongea yake , how she handle herself , you can see ako na confidence, she is just wema sepetu yani , no one ambaye atakuja mreplace this beauty brain , ni vile tu ako na ujinga flan hivi , kama akipata mtu au watu wakum boost , trust me you this bitch angekua mbali sana
Tumeona ujio wa kina hamisa, lyn and so so, ila hakuna kama wema
Tumuombee tu arudi kwenye level anayostahili
bhana
Mind you , Wema Alisoma shule nzuri , so hata ongea yake , how she handle herself , you can see ako na confidence, she is just wema sepetu yani , no one ambaye atakuja mreplace this beauty brain , ni vile tu ako na ujinga flan hivi , kama akipata mtu au watu wakum boost , trust me you this bitch angekua mbali sana
Tumeona ujio wa kina hamisa, lyn and so so, ila hakuna kama wema
Tumuombee tu arudi kwenye level anayostahili
bhana