Wema Sepetu, The queen of East

Hahahaha hapana siyo mimi
Daah kama Kweli avatar yako ndo wewe, basi wewe binti ni mzuri wa sura japo umbo silijui, na Kwa comment yako hii naongezea hata kichwani upo vizur, natumia nafas hii pia kusema aliyekuoa namuonea wivu....samahan lakn kama nimekukwaza mama
 

Yani anazeeka lkn bado mzuri huyu dada alitakiwa akakimbizane na kina nikki minaj angepata hela
 
Hivi bado tu wema anaendelea kutujazia server humu ?
 
Ujue uwaga nakuchora tu,unapenda kuchangia hata mada ambazo azikuhusu,alaaah nani alikwambia umalaya ni dhambi?
 
Sasa kama ni reality mbona duniani wapo hadi wanawake wanaosaliti waume zao na wapo wanawake wanaoolewa na waume zaidi ya mmoja kwahiyo hilo ni sawa?
Umeelewa maana ya mjadala?,independent anamaanisha kwa wanaume ndo sawa,but kwa wanaume wake ni kosa sawa eboooooh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…