Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 390
- 68
Wema Sepetu amekuwa gumzo kwa mtandao baada ya mwili wake wa zamani kuanza kumrudia.
Staa huyu wa kipindi cha 'Im My Shoes' alipiga picha na Romy Jones wiki iliyopita ambayo iliweza kuangaliwa sana kwa mitandao kadhaa huku wakifananisha mwenekano wake mpya na wa zamani.
Wiki hii Wema ametaka kuonyesha kiuno chake kwa mashabiki wake kuwa pia yeye amebarikiwa na shepu (hajamshinda Matilda Hipsy kwa hip zake)
Kupitia mtandao wa Instagram, Wema aliweza kuweka picha zake mbili na kuweka maneno haya:
"For my baby... yes you...". Mrembo huyu kwa sasa yupo na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'.
[IMAGE 1]
[IMAGE 2]
Stori imedondoshwa kutoka
Wema Sepetu: Umbo Lake La Zamani Limerudi -bkuHABARI!!!
Staa huyu wa kipindi cha 'Im My Shoes' alipiga picha na Romy Jones wiki iliyopita ambayo iliweza kuangaliwa sana kwa mitandao kadhaa huku wakifananisha mwenekano wake mpya na wa zamani.
Wiki hii Wema ametaka kuonyesha kiuno chake kwa mashabiki wake kuwa pia yeye amebarikiwa na shepu (hajamshinda Matilda Hipsy kwa hip zake)
Kupitia mtandao wa Instagram, Wema aliweza kuweka picha zake mbili na kuweka maneno haya:
"For my baby... yes you...". Mrembo huyu kwa sasa yupo na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'.
[IMAGE 1]
[IMAGE 2]
Stori imedondoshwa kutoka
Wema Sepetu: Umbo Lake La Zamani Limerudi -bkuHABARI!!!