Wema Sepetu usizae kiholela wala nini. Bibi kizee anataka kukuponza

Wema Sepetu usizae kiholela wala nini. Bibi kizee anataka kukuponza

Na akizaa tu na yeye kazaa na mwanae..haha idriss anatia huruma..angeikataa roho isirudie maana na yeye sialipotezewaga na balozi sepetu..a.k.a mtoto haram
 
Mimi nilimwona
Anayo
Wema is 27, sasa ujinga gani? Ujinga ndo mnamlisha huyo bibi wa 44 aendelee kukibemenda kitoto cha 26. HAHAHAAAAAAAAAAAAAA! Mama D I PITY YOU. Yaani mimi ningekuwa ni wewe, Radhia, NINGELILOGELEA MBALI BIBI LENZANGU LILE. Hivi Mama D lile bibi si umelipita 4 yrst tu, si kama dogo lako lile. Hahahahahaaaaa!

Heeeee zari is 44,,anakula nini.
 
Zifike 10, kwa umri ule na aliyokwisha yafanya WAZAE TU WATUKOMOE SISI. Ukishapitisha watoto 4 na 10 huko chini hakunaga tofauti
Ni bora kupitisha hata watoto 50 ni BARAKA kuliko kuharibu na kutoa mimba ni LAANA.
 
sikutegemea mtu kama huyu anaweza leta hii maada..!! inaonekana umejaa uswahili Swahili tu..sasa Zari yule mrembo anakuhusu nini? mwache aishi maisha yake na huyu wema aishi yake..This is the free world choices mtu aishi vipi haikuhusu..!! umejaa uswahili Swahili tu
 
Huyo wema anataman sana mtoto, unadhan akipata now ataacha kuzaa! Acha zari azae tu kama anapendaa, mbona zari kazaa na bado ana umbo zuri kuliko hata wasiozaa?
Hahhahah trust me, wema anaitafuta mimba kwa udi na uvumba so maoni yenu ya single mother kwake anaona hayana maana
 
Lara 1 wewe ushauri wako ni wa hovyo sana.
Hivi unafikiri miaka imesimama inakusubiri wewe uendelee kuliwa tu?????
Kuna age itafika unahitaji uwe na familia hata mtoto wa kumtuma pale unapoumwa....hivi Wema akizaa at the age of 38 huyo mtoto atamlea lini na kumsomesha wakati life expectancy ni 48.
Lara 1 you must be a
Tom Boy...mambo ya familia waachie wenyewe!!!

Ongeza tu juhudi kwenye utengenezaji wa stories za mapenzi basi,mambo ya uzazi waachie wenyewe.
 
Back
Top Bottom