Mimi nilimwonawema kavujisha siri hana mimba nenda kwa udaku tz
Mimi nilimwona
Anayo
Wema is 27, sasa ujinga gani? Ujinga ndo mnamlisha huyo bibi wa 44 aendelee kukibemenda kitoto cha 26. HAHAHAAAAAAAAAAAAAA! Mama D I PITY YOU. Yaani mimi ningekuwa ni wewe, Radhia, NINGELILOGELEA MBALI BIBI LENZANGU LILE. Hivi Mama D lile bibi si umelipita 4 yrst tu, si kama dogo lako lile. Hahahahahaaaaa!
Ni bora kupitisha hata watoto 50 ni BARAKA kuliko kuharibu na kutoa mimba ni LAANA.Zifike 10, kwa umri ule na aliyokwisha yafanya WAZAE TU WATUKOMOE SISI. Ukishapitisha watoto 4 na 10 huko chini hakunaga tofauti
Sio ya kichina ya kutengenezwa?Mimi nilimwona
Anayo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kwa hiyo saizi ndo atazaa na idris?????
Huyo wema anataman sana mtoto, unadhan akipata now ataacha kuzaa! Acha zari azae tu kama anapendaa, mbona zari kazaa na bado ana umbo zuri kuliko hata wasiozaa?
Hahhahah trust me, wema anaitafuta mimba kwa udi na uvumba so maoni yenu ya single mother kwake anaona hayana maana