Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mume hana na mtoto hana😅😅😅maisha mafupi sanaSasa kabaki na kichwa tu na mdomo ,hana tako,hana mwili,hana gari![emoji28][emoji28][emoji28]
Kuna watu mna maneno khaa!Hivi mtu akikonda si na Nyama Nyama za K zinaisha? Ndo akitanua inalia Kama mlango ulokakamaa bawaba [emoji23][emoji23]
Yaani Mungu analipa hapa hapa duniani!Mume hana na mtoto hana[emoji28][emoji28][emoji28]maisha mafupi sana
Back thenpoor her, zero brain, kwa taarifa yako wema wenye tecno na those kindof ndio wanajielewa, hununua simu yenye kila kitu kwa bei nafuu, ''value for money'' wasiojilewa kama wewe wema ulimbukeni unawasumbua, hutaka simu za bei ya ghali for show off, wenye tecno majority of em wananyumba zao na wanatembelea magari yao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila wema alikua na nyodo mbwaa huyuu[emoji1][emoji2][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ndo maana kalia alivoambiwa hana gari
Kweli kabisaa mbwa huyu bora alivofulia alikua anajimaliza Sana'a!Laana imeanza kumpata hapa hapa duniani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasahivi ana 34!Mjinga huyu demu,yeye yupo juu zaidi,anajidanganya kwa pesa sa kuhongwa,atafute zake tuone kama atadharau watu namna hii,by the way natumia Huawei P6,kwani mawasiliano sipati?hata kama ningekuwa na Nokia 3310,tatizo ni nini?ngoja afike 40yrs ndo atajua jiji
Kumbe hana akili kitambo?!Umofia Kwenu wana Jamiiforums
Katika hali iliyoshangaza wengi, beautiful oninye mwenye endless fame mnyange Wema Sepetu amesema watu wengi wanaomsema kwenye mtandao they don't have life na wengi wao wanatumia Tecno na Huawei kulog in kwenye mitandao ya kijamii na kuanza kumponda, akichezesha taya na Ephraim Kibonde katika kipindi cha jahazi amesema watu hao hawampi shida hata kidogo kwani wamepigika na yupo juu zaidi yao.
My Take: Hivi Sister wema hizo simu ulizozidharau unazijua vizuri kweli? Hivi unaweza ku-compare features za Huawei Ascend P7/Tecno H7 na Samsung Gallaxy S4?
~~~~~~~~~~~~~~
Huawei Ascend P7
![]()
Tecno H7
![]()
Wema Sepetu Akiwa na Samsung Gallaxy
![]()
Duh!!Huyu dada wapambe njaa naona ndio wanampa kichwa kwake kila ki2 sifa nyumba alipanga bdae kasema kanunua 400m bdae kaja kuumbuka mbaya,nw kafulia anaisha kwa hisani y domo
Dah!Bora nyie binamu mmejinunulia huawei za promo kwa pesa zenu, maaana bibi yule hizo simu kali mpaka achokonelewe mbele na nyuma, sasa kujitesa uko kwa nini? Si bora nyie na tecno zenu insta mnaingia kama kawa,ebu atupishe apa
Pamoja na kudanga kote.Too sad.
Kumbe hana akili kitambo?!