Wema Sepetu: Wanaoniponda wengi wao wanatumia Tecno na Huawei

Kweli maisha duara wale yaani wale aliowakejeli ndio amekuwa yeye sasa eti Mtatembeaje na miguu kama wanyama leo mnyama ni yeye na kulia juu 🤣
 
Back then
 
Ila wema alikua na nyodo mbwaa huyuu[emoji1][emoji2][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ndo maana kalia alivoambiwa hana gari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasahivi ana 34!

NA GARI HANA!!!

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Kumbe hana akili kitambo?!
 
Bora nyie binamu mmejinunulia huawei za promo kwa pesa zenu, maaana bibi yule hizo simu kali mpaka achokonelewe mbele na nyuma, sasa kujitesa uko kwa nini? Si bora nyie na tecno zenu insta mnaingia kama kawa,ebu atupishe apa
Dah!

PUMZIKA KWA AMANI WARUMI!!

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…