Wema Sepetu: Wanawake kwa wanawake kupeana kiss kwenye midomo ni jambo la kawaida

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Wanajamvi wasalam!

Wema sepetu akihojiwa kwenye kibinti cha Power jams cha East Africa Radio aliulizwa kuhusu picha iliyo onekana akipeana kiss na Aunt Ezekiel na kuhusishwa na Usagaji na Wengi wakiliona si jambo la kawaida kwenye Jamii!

Lakini kwa Wema kwakwe ni Jambo la kawaida!

Wema alisema wanawake kwa wanawake kupeana kiss kwenye midomo ni jambo la kawaida na yeye huwakiss wanawake wenzie alio close nae na humkiss Mama yake na wengine alio karibu nae!

Kwenye ile video nusu iliyowekwa kwenye ukurasa wa East Africa TV kama si East Africa Radio wema alionekana mwanzo kama kukerwa lakini mwishoni alilijibu hilo swala kwa ujasiri sana na akisema ni jambo la kawaida wanawake ku kiss wenyewe kwa wenyewe kwenye midomo lakini si jambo la kawaida kwa mwanamke kumkiss mwanaume kwenye lips!

Kwakweli nilivyo angalia hii video nilihisi Wema ni mtu aliye changanyikiwa na sikutegemea kama kweli anaweza kusisitiza kuwa ni jambo la kawaida wanawake kwa wanawake Ku kiss tena kwenye midomo kwakweli kwangu Mimi namchukulia Wema kama mgonjwa wa kichwa kabisa na sidhani kama ana hitaji kupimwa kichwa!

Labda pengine Mimi ndio niko nyuma kimaendeleo pengine wana jamvi mnadhani ni jambo la kawaida kama anavyo sema wema?

Karibuni wana jamvi!

Source :East Africa TV fb page
 
Kawaida kwake,atutolee uchafu wake hapa.Hivi naanzaje kumkiss mama yangu mdomoni?nahisi itakua siku ya mwisho kuzungumza na mimi
 
Wadada wa chuo wana hako katabia sana,sujui ndio mambo ya utandawazi, ptuuuu.
 
Kawaida kwake,atutolee uchafu wake hapa.Hivi naanzaje kumkiss mama yangu mdomoni?nahisi itakua siku ya mwisho kuzungumza na mimi

Nimeshangazwa sana kwenye hile video Wema kusema kuwa ni jambo la kawaida na yeye huwa kiss walio closs nae! Kwakweli Wema ni Mgonjwa wa kichwa!
 
Sio jambo la kawaida.

Ni kukosa utetezi tu hapo hakuna kingin.
 
Kawaida kwake,atutolee uchafu wake hapa.Hivi naanzaje kumkiss mama yangu mdomoni?nahisi itakua siku ya mwisho kuzungumza na mimi
Yani pamoja na kuwa nimenyonya matiti ya mama siku nitakayomkiss mdomoni nadhani atanilaani baada ya kuniporomoshea mingumi na mitusi....yani mwanamke mwenzangu mdomoni!bora nimbusu steven wassira
 
Kwake na familia yake sawa ila kwa Mungu sio
 
Yani pamoja na kuwa nimenyonya matiti ya mama siku nitakayomkiss mdomoni nadhani atanilaani baada ya kuniporomoshea mingumi na mitusi....yani mwanamke mwenzangu mdomoni!bora nimbusu steven wassira

Wema ana sema kwa mwanamke ni jambo la kawaida!
 
Wema ana sema kwa mwanamke ni jambo la kawaida!
Ila tusishangae sana,for the matter of record celebrities wetu wana mila na desturi ngeni miongoni mwetu inshort wao ni wamarekani weusi,ndio maana kusagana,kugeuzwa na kuliwa viboga sio jambo geni kwao,yani mambo kama hayo kwao ni kwenda na wakati!
 
Yani pamoja na kuwa nimenyonya matiti ya mama siku nitakayomkiss mdomoni nadhani atanilaani baada ya kuniporomoshea mingumi na mitusi....yani mwanamke mwenzangu mdomoni!bora nimbusu steven wassira

Hahahaaaaa humuogopi ile sura yake kama......
 
Anijiita mtoto wa kiIslam...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…