Wema SEPETU

Hivi hilo neno lina maana gani?. Naomba mwenye kufahamu maana yake anifahamishe~samahani wandungu sie wengine wavuvi tu humu!.

ni mwanamke wa kiarabu aliewekwa ndani anaandaliwa kwa ajili ya kumsubiri bwana mtarajiwa(kwetu mwali)
 
Wazazi wa Wema sepetu wanajutia kumruhusu kuingia kwnye miss tz kila siku kama asingeenda huko angekuwa mbali sana huyo binti asingekwenda mbagaraaaa
Hivi alipona kweli kwa uncle,maana naye uncle kwa rushwa ya ngono ni nambari mme
 

Kutokana na makosa hayo, mlimbwende huyo sasa anasubiri hukumu ambayo inawezekana ikamrejesha jela tena (kama vile Gereza la Segerea) au kutozwa faini au vyote viwili itakayotolewa na mahakama hiyo.









 
Demu bomba saaana tuu ila tabia ndo zinamuangusha. Nadhani hata shule yake ndogo inachangia kumfanya atumike visivyo
 
Hivi hilo neno lina maana gani?. Naomba mwenye kufahamu maana yake anifahamishe~samahani wandungu sie wengine wavuvi tu humu!.

sasa kuna uhusiano gani kati ya uvuvi na kutojua maana ya hilo neno???
 
Hivi hana wazazi?

anao sana babake alishawahi kwshika wadhfa fulani wa kiserikali kuko visiwa vya znz, cjui inakuwaje? may be wazaz walikiwa busy wanaondoka hom wajogoo yanawika,wakirudi mambwa yanabweka ntoto kashinda kutwa nzima na beki tatuno malez ya maana
 


nje ya mada:hivvi kwanini mipolisi inakuwa na sura za ajabuajabbu?hebu mcheki huyo njagu hapo akikudaka bila kitu kidogo hungoki hata kama huna kosa
 
Hivi kwa sio hapo karibu na Meeda Bar sinza/Mwenge? Kama ndio hivyo mama yake ni balaaaaa usichezee koki... utaloa sembuse mtoto. sishangai hata kidogo
 
anao sana babake alishawahi kwshika wadhfa fulani wa kiserikali kuko visiwa vya znz, cjui inakuwaje? may be wazaz walikiwa busy wanaondoka hom wajogoo yanawika,wakirudi mambwa yanabweka ntoto kashinda kutwa nzima na beki tatuno malez ya maana

Pia babaake miaka ya 80 aliwahi kuwa balozi wa Sweden au former USSR/FRG!
 
Hii kesi naifananisha na ya Kanumba,safari hachomoki lazima akanyee ndoo.
 
dah yaani wema ndo anaishi uswahilini kiasi hicho? duh jamani jamani.
 
huyo rais wa masharobaro nae anatafuta umaarufu kwa mgongo wa wema:evil:

Hivi Shosti hao wanaoitwa masharobaro ndio akina nani hasa? Hili ni neno la kiswahili au lugha gani? Au mimi ndio nimepitwa na wakati!
 
ina bidi ni confess kitu hapa

pamoja na skendo zote chafu za wema..

sijaacha ku mtamani......
bado namtamani saaanaaa.......
 
Hivi Shosti hao wanaoitwa masharobaro ndio akina nani hasa? Hili ni neno la kiswahili au lugha gani? Au mimi ndio nimepitwa na wakati!
mhh mie mwenyewe mzee wa zamani nalisikia tu,ila mara nyingi hao wanaojiita hivyo wanantisha kidogo.
 
elimu yake ya form4 pale esacs academy ndio imemfanya hivyo! Dah! Its amazing!
 

Kutokana na makosa hayo, mlimbwende huyo sasa anasubiri hukumu ambayo inawezekana ikamrejesha jela tena (kama vile Gereza la Segerea) au kutozwa faini au vyote viwili itakayotolewa na mahakama hiyo.










Code:
kazuri sema kamefilisika kimaadili
 
hana jipya...............mpuuuuzi tu huyo ndo anasumbua vichwa vya watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…