Ipi dot com
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 306
- 166
Hivi hilo neno lina maana gani?. Naomba mwenye kufahamu maana yake anifahamishe~samahani wandungu sie wengine wavuvi tu humu!.
Hivi alipona kweli kwa uncle,maana naye uncle kwa rushwa ya ngono ni nambari mmeWazazi wa Wema sepetu wanajutia kumruhusu kuingia kwnye miss tz kila siku kama asingeenda huko angekuwa mbali sana huyo binti asingekwenda mbagaraaaa
Hivi hilo neno lina maana gani?. Naomba mwenye kufahamu maana yake anifahamishe~samahani wandungu sie wengine wavuvi tu humu!.
Hivi hana wazazi?
anao sana babake alishawahi kwshika wadhfa fulani wa kiserikali kuko visiwa vya znz, cjui inakuwaje? may be wazaz walikiwa busy wanaondoka hom wajogoo yanawika,wakirudi mambwa yanabweka ntoto kashinda kutwa nzima na beki tatuno malez ya maana
huyo rais wa masharobaro nae anatafuta umaarufu kwa mgongo wa wema:evil:
mhh mie mwenyewe mzee wa zamani nalisikia tu,ila mara nyingi hao wanaojiita hivyo wanantisha kidogo.Hivi Shosti hao wanaoitwa masharobaro ndio akina nani hasa? Hili ni neno la kiswahili au lugha gani? Au mimi ndio nimepitwa na wakati!
acheni kumzulia hana skendo chafu zozote....ina bidi ni confess kitu hapa
pamoja na skendo zote chafu za wema..
sijaacha ku mtamani......
bado namtamani saaanaaa.......