Wema: Ugonjwa wa ngozi umeniaribu

Wema: Ugonjwa wa ngozi umeniaribu

amtumie anauwezo huo?wakati dada ake mwenyewe kafulia karudi Houston alikokua anakudis.chezea LA wewe.nilijua watu wanadanganya kumbe kweli karudi halafu kanywea na kapauka kama kanga za ktm mbagala.alikua hajui......kabla hujavuka mto.watu wanafull data jamani atakoma.I lv jamii forum where we dare to talk openly.

Mi niliwaambiz anarudi houston wakabishaa,sasa anajifanya oooh mme wangu ana project hapa huoston four mounth teh teh tena yupo ukwenii teh teh, watu wanamjua kuliko ajijuavyo mfulio chezeaaa
 
Mi niliwaambiz anarudi houston wakabishaa,sasa anajifanya oooh mme wangu ana project hapa huoston four mounth teh teh tena yupo ukwenii teh teh, watu wanamjua kuliko ajijuavyo mfulio chezeaaa

Aisee shosti ulisema ukweli mtupu hadi nili wonder heeh bidada sasa atapozaje nimeona project sijui nini dah
 
huo ni mwanzo tu lolz..
very soon utakuwa ka bi ch.u.
 
Mi niliwaambiz anarudi houston wakabishaa,sasa anajifanya oooh mme wangu ana project hapa huoston four mounth teh teh tena yupo ukwenii teh teh, watu wanamjua kuliko ajijuavyo mfulio chezeaaa
.huko ukweni nadhani anafanywa tu bekitatu.kwanza kachoka anaonekana tu anastress.Hiyo project miaka yote hii hakuwahi onyeshwa lol.naona kakosa cha kujitetea.show-off kwa hela za mwenzio tena w...te trash utasubiri sana.ni kama mama ubaya anavyosubiri pesa ya mr tandale
 
Hivi kwanini watu wasichague kuishi maisha bila ya presha za kijinga
 
weee Honey Faith, usisahau mi nlikuja Eid pili! Namjua Jumbe wa "Nachechemea"

Jumbe teja moja hivi alikuwa mwanaume wa Wema kabla ya Charlesbaba na Clement,duh!!niko madongo kuinama lkn umbea wa mjini sihaba.
 
Last edited by a moderator:
Jumbe teja moja hivi alikuwa mwanaume wa Wema kabla ya Charlesbaba na Clement,duh!!niko madongo kuinama lkn umbea wa mjini sihaba.

daaah nashukuru sana! hii data haikuwai kuwepo ktk dbms yangu! thanx Zamda Geuka
 
Last edited by a moderator:
hiyo hela ya kwenda china si atapewa na huyu dd.jpg
Na pesa ya kwenda china sijui ataitoa wapiii AKOMEEE
 
Back
Top Bottom