amtumie anauwezo huo?wakati dada ake mwenyewe kafulia karudi Houston alikokua anakudis.chezea LA wewe.nilijua watu wanadanganya kumbe kweli karudi halafu kanywea na kapauka kama kanga za ktm mbagala.alikua hajui......kabla hujavuka mto.watu wanafull data jamani atakoma.I lv jamii forum where we dare to talk openly.
Mi niliwaambiz anarudi houston wakabishaa,sasa anajifanya oooh mme wangu ana project hapa huoston four mounth teh teh tena yupo ukwenii teh teh, watu wanamjua kuliko ajijuavyo mfulio chezeaaa
Aisee shosti ulisema ukweli mtupu hadi nili wonder heeh bidada sasa atapozaje nimeona project sijui nini dah
.huko ukweni nadhani anafanywa tu bekitatu.kwanza kachoka anaonekana tu anastress.Hiyo project miaka yote hii hakuwahi onyeshwa lol.naona kakosa cha kujitetea.show-off kwa hela za mwenzio tena w...te trash utasubiri sana.ni kama mama ubaya anavyosubiri pesa ya mr tandaleMi niliwaambiz anarudi houston wakabishaa,sasa anajifanya oooh mme wangu ana project hapa huoston four mounth teh teh tena yupo ukwenii teh teh, watu wanamjua kuliko ajijuavyo mfulio chezeaaa
Binamu huyo ni mke wa jumbe kwa ndomo anachepuka tu
Daaah! Weka sawa maelezo, Jumbe ndio yp mkuu?
Na kukaa kote dar haumjui jumbe?Loh!.......lol
weee Honey Faith, usisahau mi nlikuja Eid pili! Namjua Jumbe wa "Nachechemea"
Jumbe teja moja hivi alikuwa mwanaume wa Wema kabla ya Charlesbaba na Clement,duh!!niko madongo kuinama lkn umbea wa mjini sihaba.
Hivi kwanini watu wasichague kuishi maisha bila ya presha za kijinga