Wema uliwahi kukuponza?

Wema uliwahi kukuponza?

Kuna mmama alinifwata et nimpe laki na hamsini anaenda kudabo yani ndani ya masaa matatu atailudisha daaaaaaah yani kwenye kumuomba ela yangu alinipa jibu kwa meseji

KWANI LAZIMA NIKULIPE ELA???
Ila kuna mijitu mikauzu hapa duniani🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom