Hebu cheki toto hilooo linawaka kama taa...
uwiiii ebu nitoe tongo tongo mie...mwanamitindo gani tena wa uko dubai?? maana huu msimu wa christmas na mwaka mpya nimewaona mastaa wengi uku dubai ata sijui wamefuata nini, ebu nipe umbea kidogo nipekenyue
uwiiii ebu nitoe tongo tongo mie...mwanamitindo gani tena wa uko dubai?? maana huu msimu wa christmas na mwaka mpya nimewaona mastaa wengi uku dubai ata sijui wamefuata nini, ebu nipe umbea kidogo nipekenyue