Wema vs the chibu's ngoma inogile

Wema vs the chibu's ngoma inogile

Ni kawaida eneo ukipenda na ukaachwa lazima uumie. Hiyo ni kanuni ya maisha. Sisi wazee hatushangai.
 
Si aliacha mwenyewe sasa saivi wivu wanini.. Naona Chibu kaamua kupigiliaa msumari wa moto.
 
Huyu demu anawivu sana, kibaya ni kwamba haridhiki mara yule jamaa yake linah, luis munana, idris wote hao hawamtoshelezi atulie amwache king of afropop aendelee na maisha yake?
unafikir wanakuaga wapenz wake basi, show off nyingi tu, wema sasa hivi hana bwana permanent anagongwa na kila mtu, akiwaona akina zari na ndomo wametulia roho inamuuma manina zake
 
Nayapendaga majibu ya Diamond tu..

Teh teh teh teh😀😀

Anafaa katika kipindi cha leo tena ama ajiunge na bi.chau maana ana majibu ya kidada sana,ingekuwa hekima kama angekaa kimya tu ila mjaa asili haachi asili na asili yake ndo iyo ..
AF mtu akiongea kitu na wewe ukamjibu kwa jazba,bhas ameongea kitu chenye ukweli ndani yake Ila wema nae hataki kukubali kuwa nyota yake inazima..birthday kila mwaka lakini sijui huwa anakua nini zaid ya kuhesabu namba
 
Anafaa katika kipindi cha leo tena ama ajiunge na bi.chau maana ana majibu ya kidada sana,ingekuwa hekima kama angekaa kimya tu ila mjaa asili haachi asili na asili yake ndo iyo ..
AF mtu akiongea kitu na wewe ukamjibu kwa jazba,bhas ameongea kitu chenye ukweli ndani yake Ila wema nae hataki kukubali kuwa nyota yake inazima..birthday kila mwaka lakini sijui huwa anakua nini zaid ya kuhesabu namba

Mbona sijaona kwenye page ya Diamond alipojibu? Au ni wafuasi wake a.k.a team
 
Hana wakumkuna, pesa nayo wababu wamekimbia sababu wana magifulika...
 
Mwanaume amwache mwenyewe, sasa hivi anaona maisha yake yameenda mbali anajaribu kuwatibua waachane akifikiri D atamrudia kama zile alizochezea akina Penny hajui ndio imetoka hiyooooooo....

Analo

Zari kuwa Dar ndionanazidi kuongia kichaa aaagh
 
Mhhh hata mi ningeumia hakunaga mtoto mbaya kwa mzazi hajui tu ni kumsamehe
 
Nimependa sana majibu ya shemeji yetu Zari,hakutukana mtu wala kuchombeza kaongea kistaarab but kahit kwenye jipu haswa...Zari ana busara sana kuliko huyo pashkenge la kitz...namshauri Diamond amuoe tu yaishe...
 
ila uswahili ni mbaya sana , tanzania hii kuna watu wamezaa watoto kibaooo ila yeye kumsifia mtoto wa esma wengine wanajihisi wamesemwa wao jaman
 
ila uswahili ni mbaya sana , tanzania hii kuna watu wamezaa watoto kibaooo ila yeye kumsifia mtoto wa esma wengine wanajihisi wamesemwa wao jaman
Hawataki awe huru. Ningekuwa na uwezo ningemuoa Wema kwa kweli nishaanza kumpenda
 
NI ugonvi wa maneno kati ya wema, Diamond na zari, wema alipost picha ya mtoto wa esma (dada wa diamond) akasifia kuwa mtoto ni mzuri sana kama pipi shabiki mmoja akauliza na tiffah? Wema akamjibu huyo shabiki "basi tungehama nchi" kwa ilivotafsiriwa kamaanisha huyo tiffah mtoto wa diamond angekua mzuri angehama nchi kwa direct maana tiffah ni mbaya, zari nae akatoa yake kuwa watu wasio na womanhood ndio wanaweza kumuita mtoto Mbaya..... Diamond ndo leo kamaliza kabisaaaa kaweka picha akiwa na mwanae akaandika "shika mimba uzae wako mzuri if you can" ligi ndo imefikia hapo hope umeelewa

asante mchambuzi wa ud....!
 
Mbona sijaona kwenye page ya Diamond alipojibu? Au ni wafuasi wake a.k.a team

Nimechangia kutokana na uchambuz uliofanywa humu tu...
duh mm si mfuasi wa mtu ila ni team mafanikio bhassssss
 
Anafaa katika kipindi cha leo tena ama ajiunge na bi.chau maana ana majibu ya kidada sana,ingekuwa hekima kama angekaa kimya tu ila mjaa asili haachi asili na asili yake ndo iyo ..
AF mtu akiongea kitu na wewe ukamjibu kwa jazba,bhas ameongea kitu chenye ukweli ndani yake Ila wema nae hataki kukubali kuwa nyota yake inazima..birthday kila mwaka lakini sijui huwa anakua nini zaid ya kuhesabu namba
Hivi mkuu ww km mwanaume mwenzang, ukimuangalia Wema unamuonaga mzuri?
 
Back
Top Bottom