hana chochote wakiitwa wenye natural color nae atoke nancy sumari atakuwa wapi afu kumbe na wewe ni team wema so umechukua nafasi ya bestizzo au petito alokula ujana na shil.million 4 siku moko sema shekh maana nilikuwa naiangalia vita yako na Kifesi maana team mama ubaya hawa patani na Kifesi
Ila Wema huwezi kudhani kua aliwahi kuwa Miss Tanzania
Thumbs up kwa kina Jokate Faraja Kota na wengineo
Na mimi najiulizaaa heeeeee
Tayaarii kumbeee sikujuaaaaa
Tena ule weusi wa pembeni umemuanza kwa mtu aliyejichubua na kuacha.
Duuh kibibi kimezeeka,
Dah na umri unamtupa mkono