Wema we mzuri bana even without make up

Wema we mzuri bana even without make up

Sio fake bhana Sema hatupati taarifa mapema.. uwe unatuita tupambane pamoja

Binamu sio kweli bhana , mbona thread za udaku zikija mnashambulia hatari na wala siwaitagi ila za kupondwa ki ukweli lusungo apo umeongea kweli kabisa sionagi mtu yeyote nabaki mwenyewe yaani wanaonisaidia wengine halafu hata siwajuag , wapo ambao wananitetea ki ukweli .
 
Last edited by a moderator:
Dinazarde my dear, haya yasemwayo na lusungo yana element za ukweli..

Hayana ukweliii banaa huyo #lusungo tunajuana kuna sehemu tulikutanaaa hahhhhahhha yeye binamu awe anatuitaa kwa pm tunakujaaa tatizo warumi akichukiaa anatusahau muda mwingine siee tupo mbaliiii
 
Last edited by a moderator:
Hayana ukweliii banaa huyo #lusungo tunajuana kuna sehemu tulikutanaaa hahhhhahhha yeye binamu awe anatuitaa kwa pm tunakujaaa tatizo warumi akichukiaa anatusahau muda mwingine siee tupo mbaliiii

Aaaah aaah hili jeshi la mtu mmoja so msiogope mpaka wakae chini hao.
 
Nawaonaga tu ukishambuliwa wanafurahia halafu huwa wanawamic maadui zako eti wanawapa raha watu viatu binamu

Yeye na money stuna wakiona pametuliaa wanaanza kuuliziaa hiv leo wachafuaa uzi wako wapiii tumewamisss hahhhhha hhhha mara ngapii tunaingiliaa weeee
 
Akaaa ya kule nayaachaga kule kule

Kama vipi kama kawa mi nilishangaa tu ban heeee kumbe lile lenye avatar kama vempiree hilo nalijuaaa linajionaga lijinias wakati hovyo
 
Hayana ukweliii banaa huyo #lusungo tunajuana kuna sehemu tulikutanaaa hahhhhahhha yeye binamu awe anatuitaa kwa pm tunakujaaa tatizo warumi akichukiaa anatusahau muda mwingine siee tupo mbaliiii

Looh..kasema mbona akitundika thread tunaiona fasta why hadi atuite..
Tumekusikia binamu
 
Yeye na money stuna wakiona pametuliaa wanaanza kuuliziaa hiv leo wachafuaa uzi wako wapiii tumewamisss hahhhhha hhhha mara ngapii tunaingiliaa weeee

Kuna yule mwingine ghafla kaanza kumfagilia HOD na ndomo daadeki anaandika sentensi fupi fupi tu hahahahahah ila bina acha usaliti
 
Kama vipi kama kawa mi nilishangaa tu ban heeee kumbe lile lenye avatar kama vempiree hilo nalijuaaa linajionaga lijinias wakati hovyo

Hahahahaha taratibu bina tusifungue kurasa za nyuma tusubiri moya
 
Binamu sio kweli bhana , mbona thread za udaku zikija mnashambulia hatari na wala siwaitagi ila za kupondwa ki ukweli lusungo apo umeongea kweli kabisa sionagi mtu yeyote nabaki mwenyewe yaani wanaonisaidia wengine halafu hata siwajuag , wapo ambao wananitetea ki ukweli .

Hahhhahhhhahhhaha umenichekeshaaa binamu tunakua mbaliii sasa hiv ntaanza kua karibuuu zaidii tenaa undaa team kabisaa ututajee tujijue tupo wangapiii
 
Last edited by a moderator:
Yeye na money stuna wakiona pametuliaa wanaanza kuuliziaa hiv leo wachafuaa uzi wako wapiii tumewamisss hahhhhha hhhha mara ngapii tunaingiliaa weeee

Hahaahaaa....kumbe binamu na Money Stunna watundu..
 
Last edited by a moderator:
Kuna yule mwingine ghafla kaanza kumfagilia HOD na ndomo daadeki anaandika sentensi fupi fupi tu hahahahahah ila bina acha usaliti

HOD tumemponda mpaka katuchoshaa inabidi tu tumsifiee halaf domo kwa mazuri tutasifiaa kwa mabaya kama dawaa,halaf mi sio msalitii nimekua zito we mbona umenisaliti mi sisemii
 
Back
Top Bottom