petit na martin ndio wamebaki mabodigad wake sijui hata huwa hawamshauri
huyu boss wao
Hao c mabodigad ni wanawake wenzie kwenye timwili la gpl walikua hawampi support wakti alienda nao kuanzisha vurugu
hahaaa na unaona ilivoandikwa sasa chezea kiingilish
Hao c mabodigad ni wanawake wenzie kwenye timwili la gpl walikua hawampi support wakti alienda nao kuanzisha vurugu
Kiinglish nacho ni wito.
.....na wachache ndio wamejaaliwa huo wito
madame anaporomosha matusi vibaya muno.....ni mabodigadi kila sehem wako nae
Was surprised too kwakwwli
Yani huyo kadinda n petit lady walikua wamelegea pale gpl kma mtori wa mzazi aliejifungua.hivi mwanaune unaenda mahali kwa ugomvi wa kike then unataka tuseme we wakiume
Uuuwiii... eti petit lady.
C unawaona walivyo legelege lazma iko shida mahali wakiume unaongea unarembua macho nyamba..fu zao
Huyu dada atapotea haraka sana kma anavisenti vyake afungue kamradi kake.mana bongo movie nayo imemshinda
Baby ake domo anataka ampe kazi awe mchezaa shoo wakee!!!
Baby ake domo anataka ampe kazi awe mchezaa shoo wakee!!!
Hivi lile teja lake mbona halisikiki tena au liko jela