Wema, Zari kuonana 'live' kwenye arobaini ya Nillan

wabongo unafik na uchawi na uchanganishi ndo fani zetu,sikushangai.ssa ulitk wagomban mpl lin
Siyo kila anayekukosea na ukamsamehe uendelee kuwa naye karibu kwenye maisha yako. Wengine wanakuwa ni kikwazo kwenye mafanikio yako. Wema kama kumsamehe Zari sidhani kama ukaribu naye unatakiwa. Huyu mwanamke ni mnafki sana. Period
 
wasijidai wana roho nzuri sanaaaa....
Kutwa kumsema mwenzake kuwa hajaingia labour.....
Ptuuuu.....
hawajui kuwa Mungu ndiye anayepanga uwe na motto au usiwe nae kwani motto ni zawaidi tu anaamua akupe au asikupe kwani wema alipenda kuwa na motto huyo dada zari ni mnafiki na hamuwajui ni waganda walivyo. mwache mondi yatakayomtokea atajua kuwa wema ndio alikuwa mke pekee kwake cause wema alimtoa katika hali hovyo na alimuwezesha hata kujulikana kwake ni mafanikio ya mwanamke wa kitz wema sasa anamuona takataka na kumkandia hovyo kwenye media
 
Wema wewe unapenda kwenda kwenye 40 za watoto wa wenzako lini za Mtoto wako nasi tuje?
 
Kiki ya 40.. Wema asikubali kutumika yeye ni "Brand" anaetaka alipie...kwani kuna nini madale ambacho yeye hawezi kujipa...? Au kuna siri za central wanampetipeti asiseme?
 
Ndo ivo...mana wanatamani wangemualika Darasa aje kutumbuiza..hahaha..aliambiwa anatumia nyota Wema kabisha kiko wapi..

Jamani mbona kaachana na Wema miaka mingi na bado nyota ya Mondi inang'aa. Huyo Wema ana nyota gani wakati hata hajielewi. Kupendwa kote na watu lakini maisha yake hayajui. Amelewa mapenzi ya walala hoi.
Darasa ana nyimbo gani zaidi ya hiyo moja. Mondi na Zari naamini wamemualika Wema kama rafiki na kuondoa uadui wa miaka mingi na si vinginevyo. Sema wabongo hamkosi la kuongea, kukatisha tamaa.
Nimefurahi wamemualiki, na nitafurahi kama Wema ataitikia wito.
 
Au walisema hivyo wakijua wema hachomoki kwa Sirro..nfio kashatoka sasa...aje asije?kukutanishwa na zari wayamalize sio lazma siku uya 40..watafute siku..mbali na camera..on neutral grounds sio madale..wanataka kumtumia kiki..jitulize kwako mama
 
Hayo ni majibu ya kwenye media kwa ninavowajua hawawezi kumualika hata kwa dawa.
 

Mungu ni mtoaji wa watoto nakubaliana na wewe, japo wakati mwingine tunapewa na tunawaputa chooni na jalalani. Siku ukimtaka mungu nae anakugomea.
Wema pia sio mungu kua alimtoa Mondi pabaya akafika hapo alipo. Mondi pia kafanya juhudi zake kubwa tu. Kwani Wema kawa na wangapi, mbona ni matakataka tu huko mitaani? kuna wengine waliishia kuchoma mishkaki kwenye mabar.
Mondi hawezi kupatwa na lolote kwa maombi yenu maana hamumlishi wala kumvisha. Waganda wana nini wasochokua nacho wanawake wa kibongo? Keshakua na wabongo wangapi ambao hakuelewana nao? mbona Wabongo hamuwezi kumuombea mtu mema? Tatizo la wabongo kuomba omba, kawakimbia kapata mwenye nazo wanaishi kwa kusaidiana sasa mioyo inawauma wakati mlishindwa wenyewe kwa njaa zenu. Hebu acheni hii couple. Mwenye kujua kama mwisho wao ni mbaya au mzuri ni mwenyezi mungu peke yake na sio nyie binadamu kutwa kucha, hamlali bila kuwasema vibaya lol...
 
Kwakuwa Wema ana vuta bangi na kichwa chake hakiko sawa ni vigumu kuwaka guarantee kama atakwenda au lah..
Kwa maneno ambayo amekuwa akisema na kusemwa ni vigumu kuamini kama anaweza kweli lakini una hitaji kuwa kichaa kubeti kuwa hatokwenda au lah.
We ndo James Delicious?? mana inaonekana ugomvi wenu na Wema ni wa mabwana. Nani kathibitisha Wema anavuta bangi bwana James??
 
Ni kweli yule mganda ana nyodo sana yeye achume mtaji wake labour amwache wema na misokoto yake aache unafiki.
 
Kiki ya 40.. Wema asikubali kutumika yeye ni "Brand" anaetaka alipie...kwani kuna nini madale ambacho yeye hawezi kujipa...? Au kuna siri za central wanampetipeti asiseme?
Inawezekana na kama bibie ana mapenzi ya dhati kwa X hasemi ng'oo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…