Wewe chakoriii ulipotea sana.Achana na wembamba,unaweza kukandamiza mashine vizuri?
😂mademu wanakuhurumia wanasema "masikini haka ka kaka hakalagi" wengine wanasema "masikini kaka mdogo huyu ana ukimwi😂"Wanaume wembamba kweli tunakazi yaani kutafta mpenzi huku unakamwili cha ukondefu utasota sanaa balaa nipale ukute unauwembamba wakurithi yaan unapiga mayai maziwa kiti moto lakin wapiii (dahh) hakuna demu anaependa kimbaombaoo kwakwelii minimeshajikatia tamaa kabisaa
???
una demu tatizo ukiwa mrefu tu
grand p si unamuona ila ana kamatia tandamu za maanaMimrefu Ila sisanaa
Tatizo vimbaombao hakuna nguo mkivaa mnapendeza wanawake wanaoenda kionekano ya nje niamini Mimi.Wanaume wembamba kweli tunakazi yaani kutafta mpenzi huku unakamwili cha ukondefu utasota sanaa balaa nipale ukute unauwembamba wakurithi yaan unapiga mayai maziwa kiti moto lakin wapiii (dahh) hakuna demu anaependa kimbaombaoo kwakwelii minimeshajikatia tamaa kabisaa
???
Kwa hiyo mtu akiongoea kwa bass mbele yako unapeperuka?