Wenger muache Alexis Sanchez aende zake , anadhalilisha timu

Wenger muache Alexis Sanchez aende zake , anadhalilisha timu

Hata kama hatujachukua vikombe
Sku za karbun

Tangu amekuja arsenal
Ni kipi cha maana ametusaidia
Unavyosema hata kama hamjachukua makombe ina maana kwenu makombe sio kitu?
 
Hata kama hatujachukua vikombe
Sku za karbun

Tangu amekuja arsenal
Ni kipi cha maana ametusaidia
Unavyosema hata kama hamjachukua makombe ina maana kwenu makombe sio kitu?
 
Haa ha ha hivi kutoka aondoke Henry na wenzake akina Viera mmepata vikombe vingapi?

Au kutetereka kuna maana tofauti kwa ma specialists in failure?kweli wapenzi wa Arsenal wana mioyo migumu.

Ndio maana uwa naamini ukimpata msichana mshabiki wa Arsenal usisite kumuoa,huyo bila shaka ana uvumilivu 100%.
Mkuu hawa watu sijui wenger kawapa nini, hapa wanamsifia wenger amtimie Alexis ila wakipita ktk majaribu kila shabiki maneno kwa wenger.
 
Haa ha ha hivi kutoka aondoke Henry na wenzake akina Viera mmepata vikombe vingapi?

Au kutetereka kuna maana tofauti kwa ma specialists in failure?kweli wapenzi wa Arsenal wana mioyo migumu.

Ndio maana uwa naamini ukimpata msichana mshabiki wa Arsenal usisite kumuoa,huyo bila shaka ana uvumilivu 100%.
Mkuu hawa watu sijui wenger kawapa nini, hapa wanamsifia wenger amtimie Alexis ila wakipita ktk majaribu kila shabiki maneno kwa wenger.
 
Mkuu hebu achaga urongo asee, Henry yupi unaemzungumzia??? Tuwe wakweli mkuu, Viera na Henry waliondoka na Arsenal yao., now ipo ya Giroud na Xhaka.
Aha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!
 
Sanchez ni bora atembee mbele tu apo aseno anapoteza muda tu ..timu mbovuu, kocha m'bovu, menejiment mbovu, asepe tu kama lowasa alivosepa ccm. ..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!

Kwa kweli hata mimi nashangaa imekuaje mpaka sasa Alexis Na Ozil wapo Arsenal. Hawastahili kuwa pale.
 
Kama wewe ni mfuatiliaji wa soka na unafuatilia mechi za Arsenal hivi karibuni , basi bila shaka utakumbana na tabia za Kishamba kabisa zinazoonyeshwa na Sanchez .

Ni mchezaji anayejiona ni bora kuliko yoyote ndani ya kikosi chake , na anadhani ni bora kuliko hata kocha wake ! Ni mchezaji ambaye anamdharau kila mchezaji wa timu yake , sijui ni nani kamdanganya ?

Kwa manufaa ya timu ni heri huyu mchezaji aruhusiwe kuondoka kwenda china kama anavyotaka , Arsenal itabaki kama ilivyobaki walipoondoka wengine wakali kuliko huyu .

Ni ushauri tu .
Hv we ni supporter wa arsenal kwelii???
 
Tumewazoea kuuza wachezaji nyinyi ubingwa wenu nafasi ya 4 kombe labda waliibe...
 
Bado sijaona shida yoyote ya Alexis Sanchez
 
Kama wewe ni mfuatiliaji wa soka na unafuatilia mechi za Arsenal hivi karibuni , basi bila shaka utakumbana na tabia za Kishamba kabisa zinazoonyeshwa na Sanchez .

Ni mchezaji anayejiona ni bora kuliko yoyote ndani ya kikosi chake , na anadhani ni bora kuliko hata kocha wake ! Ni mchezaji ambaye anamdharau kila mchezaji wa timu yake , sijui ni nani kamdanganya ?

Kwa manufaa ya timu ni heri huyu mchezaji aruhusiwe kuondoka kwenda china kama anavyotaka , Arsenal itabaki kama ilivyobaki walipoondoka wengine wakali kuliko huyu .

Ni ushauri tu .
Kwa manufaa ya KUSHIKA namba nne bora aende... Hahahaahaaaaaa....... Eti kwa manufaa ya timu... Arsenal manufaa yao ni nne tu miaka 14
 
Yaani watu bhana. Ukishashiba dona na kuungiwa kifurushi na mjomba basi unaandika lolote tu unalojisikia. Unawezaje kumtuhumu mtu bila kuainisha makosa hayo. Dharau zipi unazozizungumzia au tabia zip za kishamba unazozizungumzia?? After all kama ni suala la malipo ile ni kazi yake na anapaswa kuelezea mahitaji yake pia. Maana hata nje ya soka ana maisha mengine pia. He needs to pay bills na pia umri wake ktk soka la ushindani hauna maisha marefu kihivyo. Je anaiandaa vipi kesho yake?? Asijeishia kuwa kapuku kama akina George Best ingawa yeye sana sana aliathiriwa na ulevi na starehe zilizopitiliza.
[HASHTAG]#Tunasemajeeee[/HASHTAG].....
Even if Alexis demands the the palace to stay THE QUEEN HAS TO GO!! [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom