YAHERI MUNGU
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 318
- 215
Nimekuwa nikipitia posts nyingi humu JF, hasa katika jukwaa la Love Connect, wanawake wengi wanaotafuta wanaume wa kuwaoa, kwa kweli nimegundua kuwa wengi wao hawako very serious na kile ambacho wanakuwa wamekichapisha katika jukwaa hili. Wengi wao kuna kitu flani wanakitafuta Different from Love Affairs. Hivyo, kama kweli mwanamke anakuwa anahitaji mwanaume, please, msiweke jokes nyingi maana kuna wanaume wengine wanakuwa wamedhamilia kuwa na mwanamke, lakini mwanamke mwenyewe anakuwa tofauti na hilo lengo. Hivyo, inaonekana kuwa wengi wanafanya jokes au just writing.