SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,106
- 8,043
Jamaa alikuwa sio mtu wa karne hii.he was a prophet,,mashairi ya 2pac sio ya kawaida kbs na yataishi milele bila kuchuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alikuwa sio mtu wa karne hii.he was a prophet,,mashairi ya 2pac sio ya kawaida kbs na yataishi milele bila kuchuja
mzee vipi umekosea jukwaa nini hii jf inaukumbi mpana wewe kama haikupendezi hii mada nenda kwenye majukwaa mengneUkweli mie hupenda sana mtu atueleze kuhusu masuala ya maendeleo yetu kama nchi na jinsi yanavotuathiri sisi watanzania na kama kuna maeneo ya kujirekebisha tufanyeje. Lkn wkt mwingi nashangaa watu wengine wanaleta mada za wamarekani wavuta bangi waliouana huko na kwa jinsi gani walivuta bangi zao wakapigana risasi na kuuana. Sasa haya mambo ya kishenzi yanatusaidiaje sisi katika maisha yetu huku? Naamini haya ni mambo ya kuiga maana hata mtoa mada katika ukoo wao naamini Tupac hukuwah kumwona na ukwel ni kwamba hakujui na hata ndugu zake hawakuelewi wewe ulieko sijuo wap huko. Na kama ungekujua inakusaidiaje wewe?? Naomba tutumie akili zetu vizuri kwa maendeleo yetu jaman watanzania. Kaa fikiria kabla ya kuandikia