Wengi msimshangae Ali Kiba, hakuna mtu anayempenda Diamond kama Ali Kiba

Kama kanumba alivyoondoka na ray ukwl ndio huo..mond atakapopita kiba naye ndio hapo hapo kiba hajui kujiongeza k.ukwl labda mavazi tu kiba havai gold ni culture culture tu..ila kila kitu ni copy n paste from simba wanafeli kutuambia eti wana haiba tofati wanafanya muziki siku mond akiondoka andiko langu litatimia
 
hii mijadala kumbe bado ipo mpk siku hizi?
 
Diamond balaaa...siyo nyomi ile Rwanda
 
Beef ya mondi na kiba ishakuwa ya kawaida hata humu jamii forum siku hizi wachangiaji wamepungua, sio kama zamani naona watu washaona ushakuwa utoto, hata kijiwe ninachokaa tokea mwaka huu uanze hatuja discuss hii beef, japokuwa naamini Diamond anambeba sana kiba.
 
Kiba ni Mwimbaji kumbe? hvi msaniii anaetumia AUTOTUNE karibia nyimbo zote huyo nae mnamwita MUIMBAJI..

Mi nadhani Alikiba Ni muandishi mzuri wa Nyimbo na Mashairi ila Katka swala la Kuimba Sijawahi waza kama Kiba ni muimbaji...

Ebu sikiliza Kisauti cha Alikiba kinavyoptishwa kwenye mitambo mpaka kinatoa wimbo ni hamjui tu Ma producer wanapata kazi gani..

Tafuta producer akwambie Muimbaji kat ya Kiba Na Diamond ni nani...

Kiba aimbe bila Instrumental na Diamond aimbe bila instrumental Uone kama uTamsikiliza huyo ALIKIBA...

Sauti inapkwa mwanzo mwisho na Vi yoooooooo vingiiiiiiii....


UJE UMFANANISHE DIAMOND na KIBA haya ni Matusi...

Diamond ANAIMBA
Diamond Anatunga
Diamond Mbunifu
Diamond Mfanyabiashara


Alikiba Mwandikaji
Kuimba anaimba ila sio kwa level za Diamond...

kisaut mpk kipakwe carolight ndo ukielewe...


Nenda Live show ya Diamond na Live show ya Kiba utajua naongelea nini kuhusu.Sauti.

Tumwache DIAMOND kila kitu kina muda wake..lazima tukubali huu ndo muda wake..utapita atakuja mwingine...saivi tutulie tu.
 
kwa mtazamo wangu, Laizer bado ni producer mzuri sana, wasanii wenyewe ndiyo wanapaswa kubadilika kuendana na nyakati. Producer huandaa mdundo kutokana na idea [melody ya wimbo] aliyoletewa so kama melody na style za mziki ni zilezile usitegemee mabadiliko yoyote kwa producer maana treni siku zote haipingani na reli!!! mimi ni producer natambua nnachochangia. Wao ndiyo wenye jukumu la kumbadilisha Laizer.
 
Kitendo cha wewe kumuandika Kiba hapa jukwaani kinadhihirisha kwamba unamkubali, Kiba anafanya mziki tangu single yake ya Cinderela naamini hata Diamond aliwahi kuimba single hii akiwa mtaani, kwa mantiki hiyo Kiba ni moja ya wasanii waliomu-inspire Diamond kufanya mziki.

Diamond sasa ni msanii mkubwa na maarufu zaidi kushinda Kiba naweza kusema hivyo, lakini hata usome vipi hata uwe na madaraka kiasi gani bado utapaswa kumheshimu mwalimu wako aliyekufundisha chekechea.
Hakuna namna mtu mwenye akili timamu lazima aheshimu alikotokea na Diamond anajua hilo.
 
Watanzania gani unaowazungumzia? sheikh kishk nimemsikia akiwaponda waimba miziki iweje mtu kama huyo iwe kioo chake ni msanii?
 
Hongera sana mkuu japo nimepata huku muda umeenda
 
Nimekuelewa saana mkuu
 
Mwenye kuhitaji..dawa ya presha ..ini kisukari..hepetis b na a..ugumba uzazi..nyota mvuto...biashara..nguvu za kiume .....kukuza na kurefusha uume..kuongEza hips na makalio..uti sugu...mpigie dr kanyat 0744903557 tanga.
 
Dawa ni za mitishamba hata ndere za mvuto wa biashara na wanawake ndoa zipo..mpigie dr 0744903557 tanga handeni
 
Daaah we mshikaji bhana
 
Maneno kuntu toka kwa kiba "Mimi sishindani na mtu,Ila mziki wangu ndio watu wanaushindanisha na kazi za wasanii wengine"!
 
Ila anajua kuimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…