Wengi walionunua bajaji, bodaboda na uber hawakupata faida tarajiwa


Mkuu “eti shida yako nn” aki siku hiyo hiyo akatafute kazi nyingine
 
Mkuu “eti shida yako nn” aki siku hiyo hiyo akatafute kazi nyingine

Alijibu vema, chukua hesabu kisha songa mbali huko..... kwani akipumzika wewe unateseka...!!
 
Ni kweli watanzania tuna tatizo kubwa sana la kuiga na kufuata mkumbo. Mtu akifungua saloon basi utaona wengine nao fasta wafungua saloon mtaa huo huo. Hatuna creativity ya kuanzisha new fresh business ventures
New fresh Business kama zepi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…