Ndiyo Ukweli WenyeweTumeliwa sana ndugu zangu
Tumelaliwa sana ndugu zangu
Nchi hii ilikua shamba la bibi kila mtu alifanya tu na kuondoka.
Leo asubuhi nimekaa nikajitafakari Sana
Nampenda Sana huyu mtu ila sioni dalili za yeye kunipenda.ila kumuacha siwezi.namuacha mwezi najirudisha tu mwenyewe.na yeye ananipokea tu hivohivo
Nashindwa kumpenda mtu mwingine na hakuna anachonipa hata basi tu si unipende tu kiukweli wewe mzee
Kwamba na ununda wako wote upo kwenye hali hio?Leo asubuhi nimekaa nikajitafakari Sana
Nampenda Sana huyu mtu ila sioni dalili za yeye kunipenda.ila kumuacha siwezi.namuacha mwezi najirudisha tu mwenyewe.na yeye ananipokea tu hivohivo
Nashindwa kumpenda mtu mwingine na hakuna anachonipa hata basi tu si unipende tu kiukweli wewe mzee
Hizo gemu za point of no return ndiyo zipoje aisee?, mbona kama katangazo haka mkuu !πMimi kuna Ex girlfriend wangu mmoja huwa anatamba sana kwenye mitandao ya kijamii akiwa na boy friend wake!lakini mimi nikipiga simu moja tu narudia tena just a one call!anakuja ghetto tena kwa nauli yake mwenyewe ya kuja na kurudi!nahisi kwangu anapenda zile gemu za Total war point of no return
Kwani alikuambia kuwa anampango wa kuoa !?Umeona eeeeee
Kumbuka kwamba na wewe mke wako atamegwa kama wewe unavyowamega wa wenzio
[emoji16][emoji16][emoji16] kasema ukweli lakiniPole Sana..yataisha tu mpendwa wangu.
Hivi bado 2021 kuna ambao mnapenda msipotakiwa ππ ???Leo asubuhi nimekaa nikajitafakari Sana
Nampenda Sana huyu mtu ila sioni dalili za yeye kunipenda.ila kumuacha siwezi.namuacha mwezi najirudisha tu mwenyewe.na yeye ananipokea tu hivohivo
Nashindwa kumpenda mtu mwingine na hakuna anachonipa hata basi tu si unipende tu kiukweli wewe mzee
Au nasema uongo ndugu zanguTumeliwa sana ndugu zangu
Tumelaliwa sana ndugu zangu
Nchi hii ilikua shamba la bibi kila mtu alifanya tu na kuondoka.
Sema wewe ndiyo unatomba mke wa rafiki yako mzee babaMleta uzi umeongea kitu cha kweli na umetonesha vidonda vya watu humu[emoji1787]
Hizi ndoa hizi? Kuna jamaa anamla mke wa rafiki yake, tena mfanyakazi mwenzake kabisa. Ila sio kosa lake, mwenye mke wamekorofishana na mke wake, sijui niseme ni utoto ama ni ujinga plus upumbavu humohumo?
Kilichotokea ni kwamba eti mwenye mke kamuambia mkewe wapeane space kwa miezi 6[emoji1787]. Kwa io mwenye mke akahama walipokuwa wanakaa akaenda kupanga kwingine.
Mke nahisi alishikwa na genye, jamaa yangu alimuona kapost status fb, akachombeza hapa na pale, kama masihara akamla siku ileilee. Basi ndo baadae jamaa anakuja hayo niliyoeleza hapo juu kwamba wamezinguana na mumewe.
Kwa io nowdays jamaa anajipigia tuu.
miss natafuta njoo kwa babu mshana anarudisha mapenzi mme na kadhalikaLeo asubuhi nimekaa nikajitafakari Sana
Nampenda Sana huyu mtu ila sioni dalili za yeye kunipenda.ila kumuacha siwezi.namuacha mwezi najirudisha tu mwenyewe.na yeye ananipokea tu hivohivo
Nashindwa kumpenda mtu mwingine na hakuna anachonipa hata basi tu si unipende tu kiukweli wewe mzee
Kwa nini hyo situations unashindwa iepuka na ku move on?Leo asubuhi nimekaa nikajitafakari Sana
Nampenda Sana huyu mtu ila sioni dalili za yeye kunipenda.ila kumuacha siwezi.namuacha mwezi najirudisha tu mwenyewe.na yeye ananipokea tu hivohivo
Nashindwa kumpenda mtu mwingine na hakuna anachonipa hata basi tu si unipende tu kiukweli wewe mzee
NimeshindwaK
wa nini hyo situations unashindwa iepuka na ku move on?
Hujawah jifikiria kwa nn unashindwa?Nimeshindwa
Naomba unitafute nikushauri kitu mkuu.. Ntakuelezea tatizo lako..Nimeshindwa