Wengine kama tumelaaniwa katika mahusiano ya Mapenzi!

Wengine kama tumelaaniwa katika mahusiano ya Mapenzi!

mocker

Senior Member
Joined
Apr 16, 2018
Posts
130
Reaction score
162
Sijuhi na Tatizo Gani na Suala la mahusiano ya kimapenzi,maana nakumbana na changamoto kwa kiasi Kikubwa.Mwezi wa Saba tar 05 niliandika Uzi ukielezea Mkasa Wangu wa kimahusiano[emoji116]

Apambo kwa kifupi ni kwamba sikua na mahusiano kwa mda wa miaka minne na ikafika Mda ikanibidi nianzishe mahusiano na Binti flani,lakini aliishia kuniacha.

Niliweza kupata Ushauri hapa jukwaani kupitia Uzi Wangu huo nilouweka apa,na kiujumla Yule binti niliamua kumpotezea.

Hivyo siku zilivozidi kwenda nikapata binti mwingine Tukaanzisha mahusiano,mwanzoni mwa mahusiano Yetu upendo Baina Yetu ulionekana kwa kiwango cha Uchumi wa kati.Nikasema Yule ameondoka amekuja mwingne kuniponya na kunipenda na kunipa faraja.

Lakini kwa uangalifu sikuweza kumpa moyo wangu kwa asilimia kubwa maana nilitoka kuteswa na mahusiano yaliyopita.
Katika kupita kwangu nikakutana na mstari unaosema mademu kibao kwa nini?mmoja akutie mawazo,apo nikikumbuka yule binti alivyonitesa kwa kuweza kuniacha gafla kwa kisingizio ameokoka na kamrudia Mungu hivyo atokua tena na Mimi.

Hivyo nikapata mahusiano tena na binti Mwingne,kwahiyo kiujumla nikawa na mahusiano na wawili ila Uyu wa pili atukufika Mbali maana dharau zilikua nyingi na kuniomba pesa kila kukicha,nikaamua kumpotezea.

Ila lengo la kuandika Uzi huu ni Uyu binti mwingne kiujumla takribani wiki Tatu kumekua na Mabadiliko kidogo si kama Mwanzo,unaweza Mtumia sms asijibu zikapita siku mbili,unampgia simu apokeh na akupi mrejesho kwamba alikua Busy ama raha.Na akijibu atakwambia nipo Busy,yan 24hours binadamu unakuaje busy kwmba ushiki simu,pia whatsapp anaweka picha za wanaume Dp anakua onln unatm jumbe lakini ajibu,Dalili za mvua ni mawingu,nami naona hizi ni dalili za kuachwa.

Hivyo nibora niachane na suala linaloitwa mapenzi kwa sasa nifanye mambo mengne ya msingi,maana sioni kama ni mtu mwenye Bahati katika mapenzi.
 
Anaweza akawa hana shida but ajapata tu mtu ambaye anampenda ile serious au labda aina ya wanawake anao wataka yeye labda hawapo tayr kwa mahusiano ya mda mrefu.
 
Kama unakumbuka zile concepts za statistics kidogo, apply non probability sampling ambayo mojawazo inaitwa multi-stage sampling. Tongoza wanawake 16 wa sehemu mbali mbali Tz na nje ya Tz.

Kila baada ya stage 1 ya mahusiano unawadondosha wachache, Hadi ubaki na wanne wenye sifa za kuwa mke. Alafu Hao wanne unawafanyia classical observation Hadi ubaki na mmoja.
 
Sijuhi na Tatizo Gani na Suala la mahusiano ya kimapenzi,maana nakumbana na changamoto kwa kiasi Kikubwa.Mwezi wa Saba tar 05 niliandika Uzi ukielezea Mkasa Wangu wa kimahusiano[emoji116]
Hakuna mtu anakuwa busy anakosa muda wa kumtext mpenz wake. Huyo mgu hayupo.
Ukiona hivyo ni mapenz yamepungua kupita kiasi au hayapo tena. Shida kubwa unapenda kupitiliza.. mpende lakin usiwekeze sana.

Dada zetu hawa wana matatizo ya akili. Ukimpenda saaana anakupotezea. Lakin ukimvuruga ndio anaona anapendwa. Japo si wote. Ila ndio ilivyo.
 
Huwezi kupata mtu sahihi kama wewe si mtu sahihi kwake, huwezi kupata mtu bora kama wewe siyo bora.
Mungu anakupa wa kufanana na wewe, jiangalie wapi umepungukiwa, jiimalishe utampata aliyebora.
 
Sijuhi na Tatizo Gani na Suala la mahusiano ya kimapenzi,maana nakumbana na changamoto kwa kiasi Kikubwa.Mwezi wa Saba tar 05 niliandika Uzi ukielezea Mkasa Wangu wa kimahusiano[emoji116]
[URL
Ukiona dalili hizi ujue hakupendi. Anajilazimisha.
 
Kaka kweli unateswa sahz ndo umeandika uzi huu pole mkuu ila hauko peke yako wenzio tunaachwa kwa kejeri na dharau na bado atukomi usikate tamaa mzee wa kazi kaza sasa hv kua na chupi tofauti tofauti utarudi na mrejesho mpya.
Noma kweli kumbe wengne mnaachwa kwa kejeli ngoja nisikate tamaa
 
Anaweza akawa hana shida but ajapata tu mtu ambaye anampenda ile serious au labda aina ya wanawake anao wataka yeye labda hawapo tayr kwa mahusiano ya mda mrefu


Sent from my EML-L29 using JamiiForums mobile app
Ili nalo lina ukweli,labda changamoto ipo apo,labda pia hisia uja na kuondoka.Mimi sio malaika ila kwa ujumla nimejitathmini sijaona tatizo kwa upande wangu,maana am always playing my part vyema katika mahusiano yangu.
 
Kama unakumbuka zile concepts za statistics kidogo, apply non probability sampling ambayo mojawazo inaitwa multi-stage sampling. Tongoza wanawake 16 wa sehemu mbali mbali Tz na nje ya Tz.

Kila baada ya stage 1 ya mahusiano unawadondosha wachache, Hadi ubaki na wanne wenye sifa za kuwa mke. Alafu Hao wanne unawafanyia classical observation Hadi ubaki na mmoja.
Sawa Mkuu,hapa itabidi nitembee Tanzania nzima na uko nje ya nchi??au ntawapataje awa
 
Hakuna mtu anakuwa busy anakosa muda wa kumtext mpenz wake. Huyo mgu hayupo.
Ukiona hivyo ni mapenz yamepungua kupita kiasi au hayapo tena.
Shida kubwa unapenda kupitiliza.. mpende lakin usiwekeze sana.

Dada zetu hawa wana matatizo ya akili. Ukimpenda saaana anakupotezea. Lakin ukimvuruga ndio anaona anapendwa.
Japo si wote. Ila ndio ilivyo
Shida yangu ndo hiyo napenda kupitiliza,ndo maana napatwa na majanga na maumivu mwisho wa siku hapa ntajitahidi nirekebishe.

Kweli ulichosema upendo wake kwangu haupo Tena,icho kisingzio kwamba yupo busy hakina maana!Namimi nimeamua uyu nae nimpotezee,maana mwanaume kulalamika lalamika kwa mwanamke huo ni Uzembe
 
Huwezi kupata mtu sahihi kama wewe si mtu sahihi kwake, huwezi kupata mtu bora kama wewe siyo bora.
Mungu anakupa wa kufanana na wewe, jiangalie wapi umepungukiwa, jiimalishe utampata aliyebora.
Asante Mkuu. Ntalipambania ilo
 
Back
Top Bottom