Wengine tuliumbiwa kuachwa kwenye mahusiano

Wengine tuliumbiwa kuachwa kwenye mahusiano

Huwez amin Mashangazi ndo mnastress sana kuliko hata Majanjaro maana wao bado wanasoko. Ko kama umeanza mapema hivi kazi unayo mpaka kufika Menopause moyo ushabaki vipande tu.

Hakuna mshangazi wenye stress. Kwanza mshangazi una hela una gari una nyumba yaani hapo nyie vijana wapenda vitonga ndio mnawamendea na ndio maana siku hizi soko limekuwa gumu kupata kijana wengi wamebeba na mishangazi
 
Umeandika.kwa hesabu Sana

Kwa kifupi nakuona kama ni manzi yenye hakili mingi Sana na sio rahisi kutawalika

Na una wivu Sana japo nimpole na mwenye misimamo Sana
 
Je
Aisee sijui Kama nina changamoto ambazo mimi sizijui hama siwezi zioni… nime behave vizuri sana mpk yeye akawa ananisifia kuwa nimekua najitambua… juzi tumeongea vizuri sana mpk anasisitiza ananipenda na blablah jana tu hatujaongea Leo anatuma hiyo sms
Ulishawai mueleza kuhusu changamoto yako ya mahusiano.Kama ulimweleza basi atakuwa anaitumia kukuumiza
 
Back
Top Bottom