Nilikua nina maumivu makali mkuu, hapa naona kila dalili ya kuokota dodo chini ya mchongoma....[emoji39] [emoji39] [emoji39]Ushimen kakumbukwa.
😂Itapidi nifanye purchase ya mawani ya macho... nadhani bado hauoni dda.
Shauri yako leo lazima upigwe kipapai!Nimekutafutia mwenye chura....
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125]Nilikua nina maumivu makali mkuu, hapa naona kila dalili ya kuokota dodo chini ya mchongoma....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Tai ikiwa nzito, wakati mwingine tunaivua ili tukufe tukiwa wepesi.....Usiniambie ulikuwa umelizwa na mchuchu! nikajua nawe wale wazee wa kufa na tai shingoni.