Wengine wana macho ila hawaoni.

Wengine wana macho ila hawaoni.

Haha comrade bia gani izo zinaongea ngeli iliyosimama hivyo nami nibadili kunywa Heineken
Kunywa balimi comrade, lakini tahadhari chukua uhakikishe umefunga suruali kamba miguuni, maana huwa wageni wa hiyo kinywaji hawachelewi kuharibu then wanaanza kufuatwa na Nzi....tehteehh
 
Kunywa balimi comrade, lakini tahadhari chukua uhakikishe umefunga suruali kamba miguuni, maana huwa wageni wa hiyo kinywaji hawachelewi kuharibu then wanaanza kufuatwa na Nzi....tehteehh
hahaha.
 
Naongeza
Daby anaendana na Chakubanga hii couple ni nzur Sana sema hawajijui tangaza ndoa mi natoa 5mil kama mchango
 
Back
Top Bottom