Elections 2010 Wenje ashawishiwa ajitoe, shinyanga yadaiwa kuibiwa kura

Elections 2010 Wenje ashawishiwa ajitoe, shinyanga yadaiwa kuibiwa kura

JK bana!!!

Akiwa anahutubia amani wakati wa uchaguzi utadhani ni muungwana!!! KUmbe monster mnywa damu ya watu.....

Acheniw ananchi waamue mustakabali wao!!! This time yatawatokea puani!!!
 
Ni kweli siyo vizuri kurushana mimi ninachojua ni kuwa Dialo ndiye alimuomba msimamizi wa Uchaguzi bwana Kabwe asitangaze matokeo kwanza ili zungumze na Highess Samson mbunge mpya wa Ilemela akubali kujitoa kwa ujira wa milioni 300 akagoma. Na baada ya hapo Diallo amekubali kusaini na amekamilisha sasa zinahesabiwa kura za Nyamagana wakimaliza watasaini.

Diallo msukuma halisia yule hana shida anajali miiko ya kisukuma MASHA SI MSUKUMA YULE hana maadili wakati anapata ubunge wasukuma hawakujali ukabila walimpa ubunge kama mtanzania leo hii anakubali wasukuma na makabila meningine mwanza yamwage damu kwa sababu ya tumbo lake.Mungu keshaanza kumlaani na ndiyo maana yuko hospital
 
Nawaomba wanajamii wenzangu habari tunazozitoa ziwe na ukweli bas! manake hapa ni kwa great thinkers
 
Ndugu wana jf sasa natoa taarifa rasmi kuwa lile jimbo la shynyanga sasa limekombolewa na chadema chini ya mhe. Shelembi limeangukia mikononi mwa chadema sambamba na maswa mashariki, maswa magharibi na meatu
 
Back
Top Bottom