Ni kweli siyo vizuri kurushana mimi ninachojua ni kuwa Dialo ndiye alimuomba msimamizi wa Uchaguzi bwana Kabwe asitangaze matokeo kwanza ili zungumze na Highess Samson mbunge mpya wa Ilemela akubali kujitoa kwa ujira wa milioni 300 akagoma. Na baada ya hapo Diallo amekubali kusaini na amekamilisha sasa zinahesabiwa kura za Nyamagana wakimaliza watasaini.