Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ni taarifa aliyoitoa yeye mwenyewe, kwamba huko Rorya ndio kwao na sasa amedhamiria kuondoa ombwe la uongozi lililokuwepo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nani alikuambia Kange ni Mbunge wa Rorya? Kange yupo Jimbo la Mwibara.View attachment 1498975
Hii ni taarifa aliyoitoa yeye mwenyewe, kwamba huko Rorya ndio kwao na sasa amedhamiria kuondoa ombwe la uongozi lililokuwepo.
Kwaheri Lugola
View attachment 1498976
Kakimbia Nyamagana
Hii ni taarifa aliyoitoa yeye mwenyewe, kwamba huko Rorya ndio kwao na sasa amedhamiria kuondoa ombwe la uongozi lililokuwepo.
Huko inasemekana alipigwa makofi na mzee wa Masasi,bwana Ben,hana hamu nako.Kakimbia Nyamagana
Nyamagana pale ni awamu 1 tu inakutosha,unasepeshwa fasta.Kakimbia Nyamagana
Hapohapo Mzee wa Masasi na Sumaye nao walitaka kutwangana 2015.Huko inasemekana alipigwa makofi na mzee wa Masasi,bwana Ben,hana hamu nako.
Hii ni taarifa aliyoitoa yeye mwenyewe, kwamba huko Rorya ndio kwao na sasa amedhamiria kuondoa ombwe la uongozi lililokuwepo.
Hapana , kapisha wengineKakimbia Nyamagana
Wenje bado yupo?!
Hii ni taarifa aliyoitoa yeye mwenyewe, kwamba huko Rorya ndio kwao na sasa amedhamiria kuondoa ombwe la uongozi lililokuwepo.
wewe chizi kweli yaani Ndugulile alizaliwa kigamboni?Ndo mjue hawa watu ni wasanii tu,wanatafuta pesa,kama nyumbaninkwake kulikua ni Nyamagana amekimbilia nini nyumbani mwa watu kusiko muhusu? Wasanii tu hawa
alinyang'anywa ushindi kwa mtutuAlijiaminisha atapita tena second term nyamagana! Hana hamu napo.
Yaani najiuliza hivi inakuaje Paramagamba aende kugombea huko Moro wilayani?Hapo ndipo nakubali usanii upo sana na kupenda pesa.Ndo mjue hawa watu ni wasanii tu,wanatafuta pesa,kama nyumbaninkwake kulikua ni Nyamagana amekimbilia nini nyumbani mwa watu kusiko muhusu? Wasanii tu hawa
Kakimbia Nyamagana
Alipokuwa Nyamagana Wenje na madiwani wa Chadema walitaka kuuza uwanja wa nyagana. Na madiwani wa Ccm walimfuata JPM ndio akazuia uwanja wa Nyamagana usiuzwe. Kwa hiyo ni mpiga dili hata huko Rorya hawezi kupata kitu.
Hii ni taarifa aliyoitoa yeye mwenyewe, kwamba huko Rorya ndio kwao na sasa amedhamiria kuondoa ombwe la uongozi lililokuwepo.