Matusi makubwa haya wajumbe kama wanajitambua huyu aambulie kura yake tu,kama hajui kuwa hata hiyo ruzuku wanayotumbua inaletwa na hao anaowaita wakunja ngumi basi hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi Wajaluo wana dharau sana.Ezekiah Wenje ambae anagombea nafasi ya makamu mwenyekiti wa Chadema taifa na ambae ni mfuasi wa Mbowe anasema "ndani ya Chadema huwa tunasema kama huna cheo basi utakuwa mkunja ngumi tu"
Kwenu makamanda mtakaoambiwa na Mbowe "Kunja ngumi kamanda" mjue hiyo ni kazi yenu kama huna cheo.
Sasa imagine hawa ndiyo think tanks wa Sultan MboweWenje amekwisha shindwa uchaguzi hata kabla ya siku labda Mbowe amushindishe kwa nguvu!
Nyumbu huwa hazielewi tukiziita nyumbuEzekiah Wenje ambae anagombea nafasi ya makamu mwenyekiti wa Chadema taifa na ambae ni mfuasi wa Mbowe anasema "ndani ya Chadema huwa tunasema kama huna cheo basi utakuwa mkunja ngumi tu"
Kwenu makamanda mtakaoambiwa na Mbowe "Kunja ngumi kamanda" mjue hiyo ni kazi yenu kama huna cheo.
Kwa mambo ya CHADEMA, huwa HAUPITWI!Hakunaga chama pale [emoji3]
Pale Kwa kisutu Majamatini kwa Ndesa kulikuwaga kijiwe hivyo tunaijua hiyo saccos ya Tuntemeke Sanga vilivyo πππKwa mambo ya CHADEMA, huwa HAUPITWI!
Mbowe naye naye alituita wabangaizajiMatusi makubwa haya wajumbe kama wanajitambua huyu aambulie kura yake tu,kama hajui kuwa hata hiyo ruzuku wanayotumbua inaletwa na hao anaowaita wakunja ngumi basi hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi Wajaluo wana dharau sana.