Pesa ya mafisadi kupitia Abdul imemlewesha huyo Wenje, siyo bureKumekucha, hata akiingia atafukuzwa na wana chama.
Hii ni kauli ya Wenje wakati akihojiwa na wasafi media.
View attachment 3189375
Kama ni uadilifu wa kutumika kunufaisha chama cha mboga-mboga, ni sawaWenje muadilifu
Wenje nimemdharau kwa sasa kuliko hata maviKumekucha, hata akiingia atafukuzwa na wana chama.
Hii ni kauli ya Wenje wakati akihojiwa na wasafi media.
View attachment 3189375
Wenje mla rushwa huyo hana maanaWenje muadilifu