Pre GE2025 Wenje: Nilikutana na Abdul mara ya kwanza kwenye tafrija na kumuuliza kwanini serikali ya mama yake hailipi fidia ya Lissu, alisema angesaidia alipwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kwahiyo Abdul ni nani serikalini hadi aanze kumhoji kuhusu serikali kushindwa kumlipa Lissu pesa za matibabu? Yaani anaenda kupull strings kama nani?

Naona Wenye anatumia nguvu nyingi kujaribu kujiosha. Kwahiyo usiku huo alikuwa amempeleka Abdul kwa Lissu akiwa na hela za matatibabu kisirisiri?🌚

TUnaendelea kunywa mtori...

====

Your browser is not able to display this video.
 
Humjui Abdul leo? Basi muulize Museven atakwambia Abdul ni nani
 

Attachments

  • Screenshot_20241221_032433_Instagram.jpg
    384.8 KB · Views: 5
Binadamu hapewi nafasi ya kujitetea lazima ataunda hadithi
 
Mtoto wa kiongozi naye ni kiongozi, hahitaji baraka za katiba.
 
Mkuu muache athibitishe ukweli wa kauli ya Tundu Lissu kuhusu rushwa ilivyootapakaa ndani ya upinzani.

Kama Wenje anaweza kumuombea hela Lissu na ikatiki maana yake anaaminika kwa watoaji, yeye amepata kiasi gani??

Amewasaidia wangapi kuvuta mpunga???

Je bosi wake atakuwa amenufaika kiasi gani. Hakika acha inyeshe tujue panapo vuja!!!

Tundu Lissu ajue anapambana na nguvu nne, kazi anayo ila upepo wa bahati na wakati upo upande wake!!
 
Chadema kumejaa manyumbu kwelikweli.
Ona wanavyojidhalilisha kwa Abdul eti kumwombea hela za serikali Lissu!
Huyo Abdul ndo pay master general wa viongozi wa Chadema?
 
Wenje alikurupuka Sana, kisa kusikia mtoto wa rais.System inafanya kazi vizuri sana .
 
Hivi ndivyo DHAMBI ilivyo ....Huwa ina aongea yenyewe,over time!
 
Wenje the Imbecile.

Muda wote aliotuhumiwa alikuwa anafanya rehearsal ya majibu au hakuruhusiwa kujibu na huyo rafikiye?
 
Kosa vyote, lakini sio akili na busara!
 
Mende wa CCM walio kuwemo ndani ya CCM wakimendea kimya kimya na kukihujumu chma hicho sasa wanabainika mmjoa baada ya mwingine.

Huyu Wenje ni dhahiri alikuwa andikizi la CCM ndani ya CHADEMA.

Sasa ni wakati wa kukisafisha chama na huu uchafu ulio kuwa ukikizonga kwa muda mrefu na kuzuia wananchi kukiamini chama hiki

Baada ya Mwenyekiti wa chama naye kunaswa kwa ulaghai wa Samia; hawa wengine walio kua chini wakifanya uchafu kimya kimya nao wakaata ujasiri wa kuzidisha maovu ndani ya chama chao.
Hatuwa yao ya mwisho ilikuwa ni kukisalimisha chama kwa CCM kwa kutumia hadaa za kuunda serikali ya Umoja. Lengo la hawa watu lilikuwa na wao waingie serikalini wakale kwa kamba zao ndefu anazo watengenezea mama. mwenyewe.

Huyu Wenje, zungumza yake ekee inamwonyesha alivyo mwongo!
 
Kwa nilivyoona wenje Kuna vitu kaviacha kwenye sakata la abdul
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…