Wenje: Nilimkopesha Lissu Tsh 10 million bado namdai

Wenje: Nilimkopesha Lissu Tsh 10 million bado namdai

Ama kweli Heri nguo kuraruka kuliko akili .

Hawa Jamaa na Mbowe wake kwann wanatanguliza Vitu na Mali ?.

Kumbe ndio maana ABDUL ilikua rahisi kwake kumpata Mbowe na Wenje.

Watu wanaouza utu wào Kwa vipande vya Fedha .

Basi Hela yenyewe ingekua ya halali, ni Hela za kuhongwa na Akina Abdul
 
Back
Top Bottom