Lissu dawa ya deni kaka!!Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai
Source: One on One tv
Baadae Mlale unono 😂🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu dawa ya deni kaka!!Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai
Source: One on One tv
Baadae Mlale unono 😂🔥
Unaelewa maana ya baadae? 😂Yaani tulale sahivi serious?
Upo bar gani sahivi?Unaelewa maana ya baadae? 😂
Mwika hapa Sinza 😂😂Upo bar gani sahivi?
Siyo Njombe bar?Mwika hapa Sinza 😂😂
Hayo madeni feki ndiyo hata Mbowe huyatengeneza kwenye pesa za chama na kisha kujilipa kienyeji ikiwa ni mbinu ya kutakatisha pesa alizoiba kwenye hazina ya chama, Hao watu wawili mbowe na wenje ni mabingwa wa kutengeneza madeni hewa, wakipewa ridhaa ya kuongoza chama watakifirisi kwa madeni hewa na udalaliMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai
Source: One on One tv
Baadae Mlale unono 😂🔥
Wenje ni mtu mjinga mjinga Mbowe ni division zero form six ebu cheki huo muungano unategemea nini hapo zaidi ya ujinga mtupu kwa ujinga huo wakichukua uongozi chadema inaenda kuwa kama CUF ya LipumbaHawa wameishiwa content. Kukopeshana kunahusiana vipi na swala Zima la uchaguzi wa CHADEMA?
Wenje kaishiwa Sera sasa anatapatapa wakikaa na mbowe wanajazana ujinga maana wote uwezo wao kufikiri upo chini sanaMbona Lissu kaongea hadaiwi chochote na Wenje.
Wenje kawa kama mvuta bangi yeye na mbowe wamekalia masimango ya kijinga jinga, hawataki kunadi sera wanajua wataiba kura wapate ushindi haramuSasa inatuhusu nini nyie kidaiana? Kama hamna hoja kaeni kimya🤐 mnajiaibisha.
Deni lipi? Deni hewa? Mbona Mbowe hutengeneza madeni hewa kisha kujilipa pesa za chama kienyeji hujawahi muuliza?Lissu dawa ya deni kaka!!
Mkiambiwa ushahidi mnaanza kujiuma uma. Haya Dr. Mihogo kashadakwa huko nendeni mkamuwekee dhamana si mlikuwa naye online anabwabwaja kufurahisha kikundi.Deni lipi? Deni hewa? Mbona Mbowe hutengeneza madeni hewa kisha kujilipa pesa za chama kienyeji hujawahi muuliza?
KhaaMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai
Source: One on One tv
Baadae Mlale unono 😂🔥
Ushahidi uletewe hapo ghetto unapovuta bangi? Mbowe ndiyo kasuka mpango wa kukamatwa kwa slaa hata ushahidi uenda mtakataa kwani lengo lako wewe na mbowe ni kumdhoofisha lisu na kambi yakeMkiambiwa ushahidi mnaanza kujiuma uma. Haya Dr. Mihogo kashadakwa huko nendeni mkamuwekee dhamana si mlikuwa naye online anabwabwaja kufurahisha kikundi.
Amtoe Kampeni manager wenu kijana - siku zinaisha awasaidie kusaka kura.Ushahidi uletewe hapo ghetto unapovuta bangi? Mbowe ndiyo kasuka mpango wa kukamatwa kwa slaa hata ushahidi uenda mtakataa kwani lengo lako wewe na mbowe ni kumdhoofisha lisu na kambi yake
Wenje anatapatapa yupo tayari hata kufoji deni hewa kwani wenje hayupo sawa kichwani keshachanganyikiwa, Mbowe kaacha kunadi sera wameanza Siasa za maji takaLissu alishasema hadaiwi hata thumni, alete proof
Njombe Bar ilikuwa ya makamu Mwenyekiti wa FAT Mwendazake Kenneth Mbeyela 😂Siyo Njombe bar?