Wenje: Nilimkopesha Lissu Tsh 10 million bado namdai

Wenje: Nilimkopesha Lissu Tsh 10 million bado namdai

Lisu ni tapeli, ametapeli wengi sana fedha hata kabla ya marisasi
Kwani Mbowe Alivyotajwa na makonda kwenye list ya wauza unga alikuwa muuza unga? Wenje ni Dalali kama wewe ukivyokuwa Dalali wa madeni hewa na ulishiriki kumshambulia Lisu kwa kumtengenezea madeni hewa Kama yale mbowe huyatumia kujilipa pesa ya chama kienyeji, mmezoea kutengeneza madeni hewa hakuna asiyewajua
 
Mbowe sasa ni mwimba Taarabu na mipasho kawa mzee wa masimango chadema Mbowe imevurugwa , kumbuka mbowe hakuzoea haya ya sasa alizoea kupita bila kupingwa chaguzi zote, sasa wamepelekeshwa na Lisu wamebakia kutapatapa na kuunda vikundi vya uchakachuaji kuiba kura kuidhoofisha kambi ya lisu kuwabambikia kesi akina Slaa
Tuwe tunatumia akili kidogo, duniani kote hakuna sheria inayoruhusu mtu kusikiliza simu ya mtu mwingine sasa ndugu slaa kasema kasikiliza simu ya raisi ,huyo si wa kumuonea huruma
 
Kitengo cha propaganda cha Mbowe kimefeli sana badala ya kunadi sera wamekalia masimango Taarabu mipasho ya kijinga jinga tupu
 
Tuwe tunatumia akili kidogo, duniani kote hakuna sheria inayoruhusu mtu kusikiliza simu ya mtu mwingine sasa ndugu slaa kasema kasikiliza simu ya raisi ,huyo si wa kumuonea huruma
Mbowe katengeneza mazingira slaa akatwe kipindi hiki ili apate kuihujumu kambi ya lisu kiwepesi
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai

Source: One on One tv

Baadae Mlale unono 😂🔥
Team Mwamba hawana jipya.

..........Hakuna asiye daiwa nchi hii.

Leteni sera sio mnatafuna tu kodi zetu hapo.
 
Mbowe na wenje ndiyo Sumu ya kuua chadema kwa sasa
 
Wenje lazima atakuwa anavuta Bangi siyo bure
 
Mbowe atakuwa anajuuta kufunga mkataba na wenje kwani kaokota galasa tupu
 
Ama kweli Heri nguo kuraruka kuliko akili .

Hawa Jamaa na Mbowe wake kwann wanatanguliza Vitu na Mali ?.

Kumbe ndio maana ABDUL ilikua rahisi kwake kumpata Mbowe na Wenje.

Watu wanaouza utu wào Kwa vipande vya Fedha .

Basi Hela yenyewe ingekua ya halali, ni Hela za kuhongwa na Akina Abdul
Uyo dula aliwapata wote, kwani lisu sindio alimpa documents!!, alikuwa anajua anampanani na kwadhumunigani ikiwa huyo abduli hana nafasi yoyote serikalini.

Lisu nimwanasheria, kwanini aliamua kufanya mambo kienyeji, amandio ujanjaujanja wenyewe.

Alimpa kama nani?.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai

Source: One on One tv

Baadae Mlale unono 😂🔥
Huu ni mpumbavu. Inaonekana Jamaa wa timu Mbowe wamepaniki vibaya sana. Mipango waliyopanga gizani ilivyowekwa hadharani tu, wakaanza kuchanganyikiwa. Sass hivi wamekuwa kama wachawi ambao uchawi wao umegundulika, hivyo wamepata ukichaa wa muda.
 
Back
Top Bottom