minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Mbowe kazoea kuwabambikia madeni hewa chadema kisha kujilipa kienyeji ikiwa ni njia ya kutakatisha pesa alizoiba hazina ya chadema, Sasa fikiria hao vichwa viwili vibovu wenje na mbowe wapewe uongozi watamaliza pesa za chama kwa madeni hewaLisu hana Njaa
Angesema aidai Chadema hela za KESI alizosimamia Saccos ya Tuntemeke Sanga ingefirisika
Ile KESI ya Bulaya na Tyson pekee na Lisu akashinda inatosha kulipa madeni yote hadi Nyumba ya Bunge pale Dodoma 😂😂